Leo nimeona vitu live bila kuvaa Miwani, huenda hili tatizo langu la macho limeanza kuisha 🙈🙈
Nawatahadhirisha vijana wasumbufu Kwa Mjukuu wangu, ni kwamba Babu yao amepata Leseni ya kumiliki Gobole kwaajili ya kulinda wajukuu zake. Hivyo wawe waangalifu 😂😂