Peter the Rabbit ni Kali sn..mwezi uliopita nilienda Moro Kwa bro,watoto wake wawili watundu sn,nawasha TV wenyewe wakaniwekea katuni.Nilimind lkn nikasema wacha niangalie Tu sina jinsi,but kadili naangalia nikaona nzuri ikaniteka na nikaacha hata kuchati nikakodolea macho TV