Mkuu ile asali inasababisha mnara unasoma 6G+ bado ipo?
Mnaita upula kama sijasahau, ndugu yangu _King nataka nimpe zawadi siku ya harusi, kama lita 20 hivi inamtosha.
ππππ
Naifahamu ile nilikuwa na gallon imejaa tena we ndiye ulinambia, inakuwa na uchachu.
Yani ngoma ikipaa hewani kurudi chini mtihani, sasa na hio mixer si itakuwa π₯π₯π₯