Mkuu ile asali inasababisha mnara unasoma 6G+ bado ipo?
Mnaita upula kama sijasahau, ndugu yangu _King nataka nimpe zawadi siku ya harusi, kama lita 20 hivi inamtosha.
Niliyokuwa nayo imeisha juma lililopita, nimeagiza nyingine Tura station njia ya kuelekea Tabora inapatikana kwa wingi sana kule. Halafu ukiipata uwe unachanganya na kinywaji kinaitwa Akayabagu! Mbona hatari! Kama bado hujaoa utajikuta unalifanya sana godoro
Niliyokuwa nayo imeisha juma lililopita, nimeagiza nyingine Tura station njia ya kuelekea Tabora inapatikana kwa wingi sana kule. Halafu ukiipata uwe unachanganya na kinywaji kinaitwa Akayabagu! Mbona hatari! Kama bado hujaoa utajikuta unalifanya sana godoro
😂😂😂😂
Naifahamu ile nilikuwa na gallon imejaa tena we ndiye ulinambia, inakuwa na uchachu.
Yani ngoma ikipaa hewani kurudi chini mtihani, sasa na hio mixer si itakuwa 🔥🔥🔥
Niliyokuwa nayo imeisha juma lililopita, nimeagiza nyingine Tura station njia ya kuelekea Tabora inapatikana kwa wingi sana kule. Halafu ukiipata uwe unachanganya na kinywaji kinaitwa Akayabagu! Mbona hatari! Kama bado hujaoa utajikuta unalifanya sana godoro
Naifahamu ile nilikuwa na gallon imejaa tena we ndiye ulinambia, inakuwa na uchachu.
Yani ngoma ikipaa hewani kurudi chini mtihani, sasa na hio mixer si itakuwa