I think alimaanisha ya alizeti,ni kweli yapo yenye povu
Ambayo ndo hayo mi nimesema ni Yale wafanyabiashara wadogo wanayachukua na kuanza kuyachemsha tena ili kupata mafuta!
Ss kuyafahamu ni balaa unaweza pigwa vzr tu
🙏🙏🙏 zetu ni duwa na sala tu mama kijacho. Mafanikio yetu kwa ajiri ya vizazi na vizazi😍. Ukafanikiwe kila ugusacho na kila utakamcho kikakubalike na wateja wetu 🙏