"Jimbo la Bukene Kwenye Barabara tumepokea Zaidi ya Bilioni Moja na Milioni 500 ni ongezeko kubwa la Fedha halijawahi kutokea imeonyesha kabisa Rais huyu wa sasa Samia Suluhu Hassan ana dhamira ya dhati ya Kuboresha miundombinu yetu". Mbunge wa Jimbo la Bukene Seleman Zedi.
"Rais Samia amedhamiria kufuta kilio chetu cha ukosefu wa huduma za maji kabisa hapa Bukene ametuletea Fedha bilioni 2 ili kuyatoa Maji Pale Nzega zaidi ya Kilometa 40 hadi hapa, mradi huo utanufaisha vijiji zaidi ya 20 na vitongoji 100"
Mbunge wa Jimbo la Bukene Seleman Zedi
"Mwezi wa Novemba huu Miaka yote iliyopita tulikuwa tunakimbizana watoto wamefaulu tunachangishana mara kukamatana kupata Madarasa, lakini kwa mara ya kwanza Rais Samia ametupatia fedha kujenga Madarasa bila wananchi kutoa michango tunamshukuru sana" Mbunge Bukene Seleman Zedi
"Jimbo la Bukene Miaka iliyopita tulikuwa tunajitahidi kwenye Bajeti tunajenga madarasa 2 au 3 lakini mwaka huu Rais Samia ametupatia Madarasa 42 ya Sekondari zaidi ya Milioni 840 haijawahi kutokea! Ametupatia pia Milioni 220 kujenga Madarasa 11 kwenye Shule Shikizi"MBUNGE ZEDI
"Kasi ya Usambazaji wa umeme ni kubwa Jimboni Bukene Tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie Madarakani, mwezi wa saba tumepata Mkandarasi mpya mradi wa REA Awamu ya Tatu na kafikisha Nguzo vijiji kumi tayari, Pia Rais ametupa milioni 250 kuimarisha kituo cha Afya Itobo"MBUNGE ZEDI
"Rais Samia Suluhu Hassan ametupatia fedha milioni 600 kujenga Shule mpya ya kisasa ya Sekondari, Rais Samia anafanya makubwa hatujawahi kupata Mwenyekiti wa CCM anatekeleza Ilani ya Uchaguzi na miradi ya maendeleo kwa kasi kubwa kama Rais Samia"
Selemani Zedi
Mbunge wa Jimbo la Bukene Seleman Zedi ameyasema hayo leo Kwenye Ziara ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi CCM Ndugu Shaka Hamdu Shaka ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM na uhai wa Chama Mashinani Jimboni Bukene, Wilayani Nzenga Mkoani Tabora.
"Rais Samia amedhamiria kufuta kilio chetu cha ukosefu wa huduma za maji kabisa hapa Bukene ametuletea Fedha bilioni 2 ili kuyatoa Maji Pale Nzega zaidi ya Kilometa 40 hadi hapa, mradi huo utanufaisha vijiji zaidi ya 20 na vitongoji 100"
Mbunge wa Jimbo la Bukene Seleman Zedi
"Mwezi wa Novemba huu Miaka yote iliyopita tulikuwa tunakimbizana watoto wamefaulu tunachangishana mara kukamatana kupata Madarasa, lakini kwa mara ya kwanza Rais Samia ametupatia fedha kujenga Madarasa bila wananchi kutoa michango tunamshukuru sana" Mbunge Bukene Seleman Zedi
"Jimbo la Bukene Miaka iliyopita tulikuwa tunajitahidi kwenye Bajeti tunajenga madarasa 2 au 3 lakini mwaka huu Rais Samia ametupatia Madarasa 42 ya Sekondari zaidi ya Milioni 840 haijawahi kutokea! Ametupatia pia Milioni 220 kujenga Madarasa 11 kwenye Shule Shikizi"MBUNGE ZEDI
"Kasi ya Usambazaji wa umeme ni kubwa Jimboni Bukene Tangu Rais Samia Suluhu Hassan aingie Madarakani, mwezi wa saba tumepata Mkandarasi mpya mradi wa REA Awamu ya Tatu na kafikisha Nguzo vijiji kumi tayari, Pia Rais ametupa milioni 250 kuimarisha kituo cha Afya Itobo"MBUNGE ZEDI
"Rais Samia Suluhu Hassan ametupatia fedha milioni 600 kujenga Shule mpya ya kisasa ya Sekondari, Rais Samia anafanya makubwa hatujawahi kupata Mwenyekiti wa CCM anatekeleza Ilani ya Uchaguzi na miradi ya maendeleo kwa kasi kubwa kama Rais Samia"
Selemani Zedi
Mbunge wa Jimbo la Bukene Seleman Zedi ameyasema hayo leo Kwenye Ziara ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi CCM Ndugu Shaka Hamdu Shaka ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM na uhai wa Chama Mashinani Jimboni Bukene, Wilayani Nzenga Mkoani Tabora.