Seleli, Lembeli, Shibuda, Kimaro na wapiganaji wengineo karibuni CHADEMA

Geza Ulole

JF-Expert Member
Oct 31, 2009
59,185
79,368
msikate tamaa, mageuzi hayaji kwa siku moja milango yote haijafungwa! jaribuni upande wa pili nyie ni wapiganaji
 
waje chadema kwenye kambi ya wapambanaji. Huko kwa mafisadi na vibaraka wao hakuwafai
 
Kama mlikuwa wapiganaji wa kweli tutawajua sasa kwa kujiunga na wenzenu wa kambi ya upinzani
 
Hivi ambao wapo kwenye kammbi ya upinzani siku zote na hawa wanaohamia upinzani baada nani hasa ni wapambanaji? Kidogoooooo atleast mpendazoe lakini hawa wanaokuja baada ya tamaa zao za madaraka kufikia kikomo mhhhhhh.

Na huyo shibuda hawezi kuwa mpambanaji hata siku moja. Anafurahia maigizo yake na mtani wake JK ndani ya CCM. Labda JK akiondoka ndio atafikiria kuhama.
 
Waje Chadema lakini wasitegemee kugombea mwaka huu. Baada uchaguzi watatoa mchango wao ndani ya ndani ya Serikali yetu ya Chadema.
 
waje chadema watoe mbinu za wizi wa kura unaofanywa na ccm then tuwafikirie wapewe ukuu wa bodi mbalimbali ikibidi na ukuu wa wilaya mpya ili walete maendeleo kwani ni wapiganaji
 
wapinzani wasisubiri mapaki ya ccm. Yaani hao mpaka mambo yamewaharikia ndo wanataka kwenda upinzani? Bila shaka hao hawana jipya.
 
Hivi ambao wapo kwenye kammbi ya upinzani siku zote na hawa wanaohamia upinzani baada nani hasa ni wapambanaji? Kidogoooooo atleast mpendazoe lakini hawa wanaokuja baada ya tamaa zao za madaraka kufikia kikomo mhhhhhh.

Na huyo shibuda hawezi kuwa mpambanaji hata siku moja. Anafurahia maigizo yake na mtani wake JK ndani ya CCM. Labda JK akiondoka ndio atafikiria kuhama.

Wote. Just imagine mtu alikuwa chama tawala na bado anapambana na ufisadi akiwa huko huko? Usipoangalia vizuri zaidi unaweza hata ukafanya kosa la msingi la kuwapa credits zaidi wanaojiunga vyama pinzani wakitokea chama tawala, kuliko wapambanaji ambao wako vyama pinzani siku zote!
 
Back
Top Bottom