jong afrikaanse
JF-Expert Member
- Mar 17, 2013
- 459
- 666
Za Asubuhi Wanajamvi!!
Kwa mlioappy vyuo vya UD, MUHAS, CUHAS na Hubert Kairuki kwenye course tajwa; kuna yeyote aliyefanikiwa kupata confirmation ya selection yake wakuu? Maana mwenzenu naona ni week ya pili sasa niko Provisionally Sellected ila hakuna update yeyote.
Naombeni msaada wa kimawazo pia maana naona bado siku 3 kufikia deadline ya Second Round Application na nashindwa kuapply kwani hakuna option ya kufanya hivyo kwenye profile yangu.
Kwa mlioappy vyuo vya UD, MUHAS, CUHAS na Hubert Kairuki kwenye course tajwa; kuna yeyote aliyefanikiwa kupata confirmation ya selection yake wakuu? Maana mwenzenu naona ni week ya pili sasa niko Provisionally Sellected ila hakuna update yeyote.
Naombeni msaada wa kimawazo pia maana naona bado siku 3 kufikia deadline ya Second Round Application na nashindwa kuapply kwani hakuna option ya kufanya hivyo kwenye profile yangu.