Selection vyuo vikuu: Fomu ya kujiunga, taarifa za vyuo na kozi

Selection vyuo vikuu: Fomu ya kujiunga, taarifa za vyuo na kozi

Makini

Senior Member
Joined
Dec 23, 2014
Posts
154
Reaction score
59
Baada ya kuona mada nyingi zikiulizia joining instructions, taarifa za vyuo na kozi na kupotelea hewani, nikaona si mbaya kuwa na moja inayokusanya taarifa na zilizo muhimu kuzijua, nami nitajitahidi kuzipandisha juu ili iwe rahisi kwa kila mmoja kuziona kwa urahisi.

Pamoja tunaweza kushirikishana taarifa ulizonazo kuhusu chuo husika hasa wanaosoma au waliomaliza, pamoja na wale waliozijua mapema bila kusahau aliyefanikiwa kupata fomu mapema.

Jaman anaejua chochote kuhusu chuo kikuu cha saut MWANZA rafiki yangu amechaguliwa hapo anahitaji kujua zaidi kuhusu hicho chuo k.v hostels,mazingira, nk

Anaye fahamu chuo cha Marian kilichopo Bagamoyo anisaidie wakuu mazingira yake na utoaji wa elimu kwa ujumla pamoja na sheria za chuo bila kusahau hostel kama zipo kwa first year.





 
Jaman nauliza hivi computer Engeneering ina ajira? Nisaidien kunipa maelezo na ugumu wake.
 
Hakuna kozi utakayosoma ukaajiriwa/kujiajiri kama haupo competitive.
 
hio ni coz nzuri na ajira zake ni nyingi sanaa kuliko kozi zote ila itategemea uko competent katika sehemu ipi kwa sababu computer eng imekava sehemu nyingi sana ukijua kitu kimoja utasema ajira ngumu so kuwa mtundu afu ujue vitu piga msuli sana cozi hii ni ngumu sanaa! kumbuka engineering ni kipaji sio kozi kama kozi nyingine
 
Ajira zake ni nyingi kuliko course zote????acha kupotosha jamii humu kuna watu wanasoma na wamesoma hyo kitu kama hujui kitu pita sio kupotosha uma,
 
MoCU ilikuwa Muccobs zamani sasa baada ya kuwa University ndio imebadilika jina la kuwa MoCU(Moshi Co-operative University)
 
hahahahhahhahaaha BA-AF NI ngumu kama utazingua mwenyewe kwani inamaana hukusomaga mambo ya Accounts???Ada also unalipa kwa installment pia per semister,maisha mazuri tuu sema huku sio lele mama walimu wanafundisha sana tena na sasahivi chuo kitachelewa kufunguliwa basi tutaenda mchakamchaka...Kwa nyie mwaka wa kwanza mtapata hostel za ndani..so we jitahidi hiyo tar.2 sijui 3 uende kk...kwa maelezo mengine kinagaubaga unaweza kunichek 0716793400..One love
 
Kwa wale woote tuliochaguliwa chuo cha Mwenge catholic university tukutane hapa tupeane updates
 
Itakuwa vizuri kama tutafahamishana taarifa mbalimbali,kwa mfano mimi nataka kujua zile joining instructions wameshaanza kuzituma kwa wanafunzi waliochaguliwa?au unadownload tu mtandaoni,maana nataka kuitumia kuomba release letter hapa kazini.
 
hahahahhahhahaaha BA-AF NI ngumu kama utazingua mwenyewe kwani inamaana hukusomaga mambo ya Accounts???Ada also unalipa kwa installment pia per semister,maisha mazuri tuu sema huku sio lele mama walimu wanafundisha sana tena na sasahivi chuo kitachelewa kufunguliwa basi tutaenda mchakamchaka...Kwa nyie mwaka wa kwanza mtapata hostel za ndani..so we jitahidi hiyo tar.2 sijui 3 uende kk...kwa maelezo mengine kinagaubaga unaweza kunichek 0716793400..One love

Mie nmepiga bookpng na commece oleve na hesabu nlifaulu fresh B ZOTE, ADVANCE NMEPIGA HGE nayo nkasuuza tena. Naimani wameona naweza ndo maana wameniweka hapo
 
[QUvxOTE=pyzo;oqw]Mie rtt s na CCTV s duty gftgfgfg cf ggddgs oleve na hesabu nlifaulu fresh B ZOTE, ADVANCE NMEPIGA HGE nayo nkasuuza tena. Naimani wameona naweza ndo maana wameniweka hapo[/QUOTE]

D
 
laliga,makumba bay, peac park,mr price city,kitandu, nimesahau wap???? mkiendeleza hizi sehemu ni lazima kama c kuliwa kichwa na kina DR.MWENDE na MR KING, au prof OJWANG basi utarudi kwenu kilo mbili. alafu useme moshi mbaya.
 
Back
Top Bottom