SELECTED STUDENT APPLIED FOR CERTIFICATE AND DIPLOMA CHUO KIKUU CHA USHIRIKA MOSHI 2016/2017

Andrew Sosipeter

Senior Member
May 29, 2016
189
33
Hei wana jf kama kichwa habari kilivyo leo nimetembelea blog flan www.https://jamii.app/JFUserGuide nikakuta nanukuu KAMA ULIFANYA APPLICATION ZA CERTIFICATE AND DIPLOMA CHUO KIKUU CHA USHIRIKA MOSHI MWAKA 2016 /2017 NIMEKUWEKEA MAJINA HAPO naomba kuuliza je kwani hao wanafunzi wamedahiliwa na nani na kama ni chuo kimewadahili kana haja gani ya kufanya APPLICATION kupitia nacte kwa nini kila mtu asifanye kupitia chuo anakitaka na kama ni nacte wamewadahili kwa nn vyuo vingine hawajatoa ufafanuzi tafadhari
 
hiyo njia inaitwa direct entry! chuo kitasimamia usajili wako ktk baraza but so njia nzuri sana kuitumia kama una qualification kwa nn mtu aogope kuapply nacte
 
Back
Top Bottom