Local Mwalimu
Member
- May 12, 2019
- 16
- 17
Napenda kutoa ushauri kwa Sekretarieti ya Ajira juu ya maboresho mazuri ya tovuti ya kuombea ajira, ila naomba kuwakumbusha kuwa wanafunzi wa VETA (Basic Technician, Certificate na Techncian Certificate) mmewasahau katika Academic qualification hakuna machaguo yao ya name of the programme.
Hivyo naomba muweze kuwasiliana na mamlaka husika VETA au NACTE wawape majina ya kozi wanazozitoa ili na wao wapate fursa ya kuomba ajira maana kwa maboresho haya watashindwa kuomba ajira.
Au kama itakuwa ngumu basi wekeni kipengele cha other ili kuwapa nafasi ya kuandika wenyewe jina la chuo na jina la program husika.
Nawasilisha na napongeza kwa maboresho mazuri.
Hivyo naomba muweze kuwasiliana na mamlaka husika VETA au NACTE wawape majina ya kozi wanazozitoa ili na wao wapate fursa ya kuomba ajira maana kwa maboresho haya watashindwa kuomba ajira.
Au kama itakuwa ngumu basi wekeni kipengele cha other ili kuwapa nafasi ya kuandika wenyewe jina la chuo na jina la program husika.
Nawasilisha na napongeza kwa maboresho mazuri.