Kuna interview imefanyika na majina yaliongezwa siku moja kabla ya usaili wakati wengine waliitwa wiki moja kabla ya usaili, sasa tunawavizia waliongezwa one day before interview na wakipata hii kazi najuwa kabisa walipangwa kwanini majina yaongezwe one day before na wafaulu interview?? na wakati hawakupata muda mrefu wa kujiandaa na usaili??.