Seif na Mbowe wakipikwa chungu kimoja wanaiva

Seif na Mbowe wakipikwa chungu kimoja wanaiva

1 Wote wanayoyahubiri hawawezi kuyatekeleza - Kutojiamini - Maandamano ya Sept anaya pigia chapuo za kiaina ili yasifanyike na hayafanyiki
2.Ni kigeugeu,leo anasema hili kesho anasema lile kuhusu kitu hichohicho - Unafiki leo huyu fisadi kesho msafi
3.Wote wana maamuzi ya kukurupuka- hawasikilizi ushauri - toka bungeni/ susia vikao Sasa analilia suluhu
4. kumsaliti Katibu mkuu wake mkuu,mbachao,Dk Willibrod Slaa kwa msala upitao
5 Ameufanya uongozi mzima wa chadema uwe kama kambare, wote wana masharubu.
hahahahahaha...mkuu pole sana

Naona ya CUF yamekushinda

Na bado viti mtaviona vya moto
 
Kaka wewe uko Dunia gani? katibu mkuu ndio alileta proposal ya kumkaribisha Lowassa ndani ya Chama, alikuja kutofautiana na wenzie kwenye jinsi ya kumpokea huyo Lowassa, majority walikubali na tulichokioma na kutangaziwa

So hayakuwa maamuzi ya Mbowe yalikuwa ya chama na yeye Mbowe kama Mwenyekiti alikuwa msemaji wa hayo maazimio
Hivimsemajiwa Chadema ni mwenyekiti. Basi Dr.Slaa ni punguani.Mtu amkaribishe mwenyewe kwenye nyumba halafu mwenye nyumba aikimbie nyumba yake? hayumkiniki. LI ITE JIWE KUWA JIWE TU
 
hahahahahaha...mkuu pole sana

Naona ya CUF yamekushinda

Na bado viti mtaviona vya moto
Kwanini tuandikie mate wakati wino upo! Tarehe 01 Sept sio mbali. Mbowe atakuja na kisababu hafifu cha kuahirisha mikutano. Hapo ndipo utakaposadiki utafakari wangu
 
Kwanini tuandikie mate wakati wino upo! Tarehe 01 Sept sio mbali. Mbowe atakuja na kisababu hafifu cha kuahirisha mikutano. Hapo ndipo utakaposadiki utafakari wangu

Kamati kuu ya CHADEMA Inalijua Lengo la operesheni ambalo hadi sasa limefanikiwa kwa 90% bado kumi tu ambazo Wale jamaa wa magari ya kuwasha na vitambaa vyekundu watatimiliza kwa kuandamana nchi nzima tarehe 1 sep

Na tutawatangazia tena tarehe 10 September...tehtehteh

Huu mchezoooo...hautaki hasiraaaa

Siasa ni sayansi
 
hahahahahah

However you call it

Mission accomplished ....
Hatujafika mbali,rejea niliosema hapo juu kuhusu Mbowe, nilisema "Kwanini tuandikie mate wakati wino upo! Tarehe 01 Sept sio mbali. Mbowe atakuja na kisababu hafifu cha kuahirisha mikutano.

"Jaji Mutungi asema uwepo wa maandamano ya vyama vya siasa utaamuliwa kwenye mazungumzo ya Agosti 29 na 30". Mazungumzo na nani? kama si mbowe
 
Hatujafika mbali,rejea niliosema hapo juu kuhusu Mbowe, nilisema "Kwanini tuandikie mate wakati wino upo! Tarehe 01 Sept sio mbali. Mbowe atakuja na kisababu hafifu cha kuahirisha mikutano.

"Jaji Mutungi asema uwepo wa maandamano ya vyama vya siasa utaamuliwa kwenye mazungumzo ya Agosti 29 na 30". Mazungumzo na nani? kama si mbowe
hahahahahha.kwa hiyo mbowe ndiye jaji mutungi...subiri wewe akili yako ni ndogo saaaaaaaaannnaaaaaaaaaaa
 
Hivimsemajiwa Chadema ni mwenyekiti. Basi Dr.Slaa ni punguani.Mtu amkaribishe mwenyewe kwenye nyumba halafu mwenye nyumba aikimbie nyumba yake? hayumkiniki. LI ITE JIWE KUWA JIWE TU
Ndio ushangae sasa

Kwa heri kaka
 
Back
Top Bottom