Baraghash
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 2,713
- 1,790
Ukiwafuatilia wanasiasa hawa wawili kwa ukaribu utagundua kuwa wanafanana sana kiasi ambacho kama hata wakipikwa chungu kimoja basi bado watabaki na ladha ileile ya kulika.
1 Wote wanayoyahubiri hawawezi kuyatekeleza - Kutojiamini
2.Wote ni vigeugeu,leo wanasema hili kesho wanasema lile kuhusu kitu hichohicho - Unafiki
3.Wote wana maamuzi ya kukurupuka- hawasikilizi ushauri - toka bungeni/ susia uchaguzi. Leo yanawatafuna
Kule Zanzibar jeshi la polisi limeshamuelewa Maalim Seif na hawapati taabu ya kumdhibiti wala polisi hawahitaji kufanya mazoezi ya kijeshi mitaani kila siku. Wanamuacha kupayuka tu. The barking dog doesn't bite!
Huku bara jeshi la polisi bado halijamsoma, laiti kama wangemjua MBOWE kuwa kama ni Mun'gunye, nje gumu ndani laini, wasingejitia hasara nchi nzima ya kujiandaa na UKUTA wakijua kuwa umesimamishwa kwa nyasi tupu na kupambwa kwa kuzungushiwa vitambaa vya bendera .
Mbowe sasa anatafuta sababu nyepesi ya kufuta mikutano ya hadhara na maandamano ikiwa tu jeshi la polisi litacheza karata zake vizuri.
1 Wote wanayoyahubiri hawawezi kuyatekeleza - Kutojiamini
2.Wote ni vigeugeu,leo wanasema hili kesho wanasema lile kuhusu kitu hichohicho - Unafiki
3.Wote wana maamuzi ya kukurupuka- hawasikilizi ushauri - toka bungeni/ susia uchaguzi. Leo yanawatafuna
Kule Zanzibar jeshi la polisi limeshamuelewa Maalim Seif na hawapati taabu ya kumdhibiti wala polisi hawahitaji kufanya mazoezi ya kijeshi mitaani kila siku. Wanamuacha kupayuka tu. The barking dog doesn't bite!
Huku bara jeshi la polisi bado halijamsoma, laiti kama wangemjua MBOWE kuwa kama ni Mun'gunye, nje gumu ndani laini, wasingejitia hasara nchi nzima ya kujiandaa na UKUTA wakijua kuwa umesimamishwa kwa nyasi tupu na kupambwa kwa kuzungushiwa vitambaa vya bendera .
Mbowe sasa anatafuta sababu nyepesi ya kufuta mikutano ya hadhara na maandamano ikiwa tu jeshi la polisi litacheza karata zake vizuri.