Nimekuwa kwenye mdahalo leo na kumuona huyu mzee ana mwaga misemo ya pwani tu anaruka point na kukazania mawazo yake ya kichama , nimebaki najiuliza huyu naye aliwezaje kuwa waziri kwa muda mrefu hivi ?
Nimekuwa kwenye mdahalo leo na kumuoa huyu mzee ana mwaga misemo ya pwani tu anaruka point na kukazania mawazo yake ya kichama , nimebaki najiuliza huyu naye aliwezaje kuwa waziri kwa muda mrefu hivi ?
Mkuu umenena huyu jamaa sijui anamatatizo gani...halafu nadhani amepata Phd juzi pale UDOM katika kiswahili..alianza kusoma tangu 2007.......na amemaliza mwaka huu.Kwa kweli anaboa sana na amewadhalilisha wazee kwa kiasi kikubwa.....na aliongea pumba moja mpaka watu wakam-mind ati vijana wa Tanganyika wanaidai Tanganyika wakati wamezaliwa ikiwa haipo..kimisingi kamanda John Mnyika aliwafunika sana...hata yule mwanasheria amezidiwa uwezo wa kuongea na kujipanga na Kamanda Mnyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.