Seif al islam

MndemeF

Member
Jan 15, 2011
35
5
Seif al Islam ni mtoto wa kiongozi wa Libya aliyepinduliwa. Kijana huyu alikamatwa na wapiganaji wa koo na kukabidhiwa kwa majeshi ya serikali ya mpito ya Libya. Tangu akamatwe kijana huyu takribani mwaka mmoja sasa hajafikishwa mahakamani wala kufunguliwa mashitaka. Anateswa sana gerezani kwa mfano wamemkata vidole vyake 3 vya mkono, anashikiliwa sehemu ya pekee bila hata kuonana na ndugu zake wala mwanasheria wake, anaumwa na wala hana nafasi ya kuonana na daktari na mateso mengi ambayo si yakibinadamu.

Hivi hawa watetezi wa haki za binadamu mpo wapi? The Hague ipo kwa ajili ya nani? Inasikitisha sana. Seif ni mtuhumiwa tu bado hajatiwa hatiani na mahakama yoyote hivyo anastahili kuheshimiwa utu wake.
 
Seif al Islam ni mtoto wa kiongozi wa Libya aliyepinduliwa. Kijana huyu alikamatwa na wapiganaji wa koo na kukabidhiwa kwa majeshi ya serikali ya mpito ya Libya. Tangu akamatwe kijana huyu takribani mwaka mmoja sasa hajafikishwa mahakamani wala kufunguliwa mashitaka. Anateswa sana gerezani kwa mfano wamemkata vidole vyake 3 vya mkono, anashikiliwa sehemu ya pekee bila hata kuonana na ndugu zake wala mwanasheria wake, anaumwa na wala hana nafasi ya kuonana na daktari na mateso mengi ambayo si yakibinadamu.

Hivi hawa watetezi wa haki za binadamu mpo wapi? The Hague ipo kwa ajili ya nani? Inasikitisha sana. Seif ni mtuhumiwa tu bado hajatiwa hatiani na mahakama yoyote hivyo anastahili kuheshimiwa utu wake.

jamaa atakua anateseka sana sasa hivi gerezani,hawa wapigania haki za binadamu ni wale wale tu,whether no interests you wont found them there,ni nani wakumkumbuka saif al islam na kumsaidia?
 
Kama kawekwa mahali haonani na ndugu wala mwanasheria wake,umejuaje kama kakatwa vidole na anaumwa?
 
Kama kawekwa mahali haonani na ndugu wala mwanasheria wake,umejuaje kama kakatwa vidole na anaumwa?
Mleta maada ni mjinga sana. Huwezi kujustfy kitu ambacho umesema hakuna mtu aliyeweza fika. Halafu huyo jamaa si ndiye aliyeuwa walibya kibao pia?
 
Back
Top Bottom