We njoo hutojuta unaishi mitaa ganiok mkuu nitaanzia huko then nitacheki na malaika
Haya. Wewe tu.Hahahaa leo ustaarabu nataka niuweke pembeni mkuu
Hahahaa nililiona hilo kochi jana na watu wanalitumia ipasavyoClub 7 nilikuwepo jumamosi ..Kule kushoto kwenye makochi pazuri sana hasa lile kochi refu ...Yule DJ Big mweupe hivi anajua sana kupangilia ngoma ...Ila washenzi maji ya jero wanauza elfu mbili *****