Mr Makunduchi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 996
- 491
Mkuu usisikie la kuambiwa mpaka uone mwenyewembona uko ``so deffensive`` ...wewe ndo mmiliki wa hiyo gari?
Mkuu usisikie la kuambiwa mpaka uone mwenyewembona uko ``so deffensive`` ...wewe ndo mmiliki wa hiyo gari?
Nimesoma kwa makini taarifa hiyo ambayo imesambaa kwenye mitandao ya kijamii huku chanzo chake kikitajwa kuwa ni gazeti ambalo hata hivyo jina lake halikubainishwa. Taarifa hii inaibua maswali mengi machache ni haya:
1. Maelezo ya awali kutoka viongozi wakuu wa CHADEMA walisema gari ni moja aina ya Nissan Patrol na kwamba namba zake hazikujulikana. Leo dereva Simon anasema ni magari mawili tena akibainisha kuwa namba za Nissan Patrol ni T 932 AKN. Dereva Simon aliwadanganya Viongozi wake? Alifanya hivyo ili iweje? Namba za Land Cruiser ni zipi?
2. Kwanini alichelewa kumpa Mh. Lisssu taarifa ya kufuatiliwa na magari hayo kuanzia Bungeni na kusubiri mpaka wafike nyumbani wakati wa kushuka jambo ambalo pengine lingesaidia bosi wake kuwa na mawazo mbadala juu ya hatua za kuchukua? Kwanini aliegesha gari kwa namna ambayo ilisaidia kurushiwa risasi Mhe. Lissu kirahisi wakati angeweza kuegesha vinginevyo na hivyo wahalifu wakashindwa kutekeleza lengo lao?
3. Eti akashuka mtu akijifanya kuongea na mtu kwa njia ya mikono, baada ya muda mfupi akarudi kwenye gari , gari la watu hao likiwa limegeuzwa kuangalia lilikotoka ndipo akashuka mtu huyo na silaha aina ya SMG. Muda wote huyo amemzuia Mhe. Lissu ashishuke, kwanini? , kulikuwa na nini hapo? Kulikuwa na umbali gani kutoka kwenye gari kuingia ndani ya nyumbani mpaka washindwe kuondoka?
4. Kwanini amlaze bosi wake kwenye kiti chake lakini yeye ajifiche uvunguni mwa gari lingine lililokuwa limeegeshwa pembeni? Lissu alikuwa anaendeshwa na Dereva kama roboti? Yeye hakutaka kujiongeza? Siyo kwamba huyu Dereva aliandaliwa kitaalam namna ya kumjengea hofu Lissu ili ashindwe kuchukua maamuzi sahihi ya kujiokoa?
5. Eti mmoja wa watu waliomshambulia Lissu walikutana Rose Garden, kwamba aliwatambua kwa vile walishuka kwenye gari lililokuwa linawafuatilia. Je baada ya kuwaona huko Rose Garden alichukua hatua yoyote kuweza kuwatambua , kutoa taarifa yoyote au hata kumjulisha Mhe. Lissu kuwa amewaona watu waliokuwa wakitumia gari lililokuwa likiwafuatilia? Kama jibu ni hapana, siyo kwamba alikutana na watu hao kupanga njama za yeye kusaidia kudhuriwa kwa Bosi wake?
6. Dereva Simon anasema gari lililokuwa na wahalifu lilikuwa limepaki pembeni mwa gari lao(maana yake ni karibu sana) na kwamba silaha iliyotumika ni SMG. Kwa mujibu wa wataalam wa silaha, SMG ina uwezo wa kujeruhi umbali wa mita 1000, Kwa umbali kati ya gari la Lissu na wahalifu ni wazi kama silaha ilikuwa SMG, risasi zingine zingeweza kupita tumboni mwa Lissu na kutoka nje na hata kutoboa gari , je zipo risasi za aina hiyo zilionekana kupenya tumboni na kwenda nje?
Maswali ni mengi sana. Lakini jambo muhimu kwa jinsi huyu Dereva anavyojichanganya, alitakiwa ajieleze Polisi kwa amri tena akiwa ametiwa pingu.
Sijakuelewa tena aswa hapo ulipozungumzia smg ndo kabisa hujui kitu umekalili tu kuwa inaweza kuzuru kuanzia mita 100 huhuhuhuhuu kama hujui kaa kimya hoji mengine tu... smg sio fani yako u better stay shut na sio kukimbia kuandika uzi.. unajua gari lina body ya bati ya aina gani?? Ingekuwa walikuwa mita 100 isingeweza kuingia tumboni mwa lissu hzo risasi!! Kwa taarifa yako hata upepo unaweza punguza makali na kasi ya risasi itakuwa body ya gari???... ulianza vizuri mwishoni ukaonyesha muemko wa ki lumumbaNimesoma kwa makini taarifa hiyo ambayo imesambaa kwenye mitandao ya kijamii huku chanzo chake kikitajwa kuwa ni gazeti ambalo hata hivyo jina lake halikubainishwa. Taarifa hii inaibua maswali mengi machache ni haya:
1. Maelezo ya awali kutoka viongozi wakuu wa CHADEMA walisema gari ni moja aina ya Nissan Patrol na kwamba namba zake hazikujulikana. Leo dereva Simon anasema ni magari mawili tena akibainisha kuwa namba za Nissan Patrol ni T 932 AKN. Dereva Simon aliwadanganya Viongozi wake? Alifanya hivyo ili iweje? Namba za Land Cruiser ni zipi?
2. Kwanini alichelewa kumpa Mh. Lisssu taarifa ya kufuatiliwa na magari hayo kuanzia Bungeni na kusubiri mpaka wafike nyumbani wakati wa kushuka jambo ambalo pengine lingesaidia bosi wake kuwa na mawazo mbadala juu ya hatua za kuchukua? Kwanini aliegesha gari kwa namna ambayo ilisaidia kurushiwa risasi Mhe. Lissu kirahisi wakati angeweza kuegesha vinginevyo na hivyo wahalifu wakashindwa kutekeleza lengo lao?
3. Eti akashuka mtu akijifanya kuongea na mtu kwa njia ya mikono, baada ya muda mfupi akarudi kwenye gari , gari la watu hao likiwa limegeuzwa kuangalia lilikotoka ndipo akashuka mtu huyo na silaha aina ya SMG. Muda wote huyo amemzuia Mhe. Lissu ashishuke, kwanini? , kulikuwa na nini hapo? Kulikuwa na umbali gani kutoka kwenye gari kuingia ndani ya nyumbani mpaka washindwe kuondoka?
4. Kwanini amlaze bosi wake kwenye kiti chake lakini yeye ajifiche uvunguni mwa gari lingine lililokuwa limeegeshwa pembeni? Lissu alikuwa anaendeshwa na Dereva kama roboti? Yeye hakutaka kujiongeza? Siyo kwamba huyu Dereva aliandaliwa kitaalam namna ya kumjengea hofu Lissu ili ashindwe kuchukua maamuzi sahihi ya kujiokoa?
5. Eti mmoja wa watu waliomshambulia Lissu walikutana Rose Garden, kwamba aliwatambua kwa vile walishuka kwenye gari lililokuwa linawafuatilia. Je baada ya kuwaona huko Rose Garden alichukua hatua yoyote kuweza kuwatambua , kutoa taarifa yoyote au hata kumjulisha Mhe. Lissu kuwa amewaona watu waliokuwa wakitumia gari lililokuwa likiwafuatilia? Kama jibu ni hapana, siyo kwamba alikutana na watu hao kupanga njama za yeye kusaidia kudhuriwa kwa Bosi wake?
6. Dereva Simon anasema gari lililokuwa na wahalifu lilikuwa limepaki pembeni mwa gari lao(maana yake ni karibu sana) na kwamba silaha iliyotumika ni SMG. Kwa mujibu wa wataalam wa silaha, SMG ina uwezo wa kujeruhi umbali wa mita 1000, Kwa umbali kati ya gari la Lissu na wahalifu ni wazi kama silaha ilikuwa SMG, risasi zingine zingeweza kupita tumboni mwa Lissu na kutoka nje na hata kutoboa gari , je zipo risasi za aina hiyo zilionekana kupenya tumboni na kwenda nje?
Maswali ni mengi sana. Lakini jambo muhimu kwa jinsi huyu Dereva anavyojichanganya, alitakiwa ajieleze Polisi kwa amri tena akiwa ametiwa pingu.
Kweli kabisa,hata Nape alitshiwa bastola na mtu asiyejulikana,clouds pia wasiojulikana.Wasichafuwe serikali yetu,maana haiwezi kufanya haya,bali haya hufanywa na watu wasiojulika ambao haitakiwi kusomewa albadiri.Ukweli huyu dereva kaandaliwa hayo maelezo. Na ni suspect namba moja pamoja na Mh. Mbowe. Inabidi wawakamate kupitia interpol ili warudi watoe maelezo vizuri. Nadhani Mh. Mbowe na Mh. Lowasa huu mchezo wanaujua vizuri. Serikali yetu haiwezi kuua mtu kwa kiwango cha namna hii, na hawana rekodi huko nyuma za uharifu.
Hiyo point ya mwisho hata mimi ndiyo nimeingiwa shaka, nilivyokuwa jeshini nillisoma hilo la umbali wa SMG kujeruhi maana yake risasi zote zisingebaki mwili hadi zije kutolewa mwilini. Umbali chini ya KM 1 inapitaNimesoma kwa makini taarifa hiyo ambayo imesambaa kwenye mitandao ya kijamii huku chanzo chake kikitajwa kuwa ni gazeti ambalo hata hivyo jina lake halikubainishwa. Taarifa hii inaibua maswali mengi machache ni haya:
1. Maelezo ya awali kutoka viongozi wakuu wa CHADEMA walisema gari ni moja aina ya Nissan Patrol na kwamba namba zake hazikujulikana. Leo dereva Simon anasema ni magari mawili tena akibainisha kuwa namba za Nissan Patrol ni T 932 AKN. Dereva Simon aliwadanganya Viongozi wake? Alifanya hivyo ili iweje? Namba za Land Cruiser ni zipi?
2. Kwanini alichelewa kumpa Mh. Lisssu taarifa ya kufuatiliwa na magari hayo kuanzia Bungeni na kusubiri mpaka wafike nyumbani wakati wa kushuka jambo ambalo pengine lingesaidia bosi wake kuwa na mawazo mbadala juu ya hatua za kuchukua? Kwanini aliegesha gari kwa namna ambayo ilisaidia kurushiwa risasi Mhe. Lissu kirahisi wakati angeweza kuegesha vinginevyo na hivyo wahalifu wakashindwa kutekeleza lengo lao?
3. Eti akashuka mtu akijifanya kuongea na mtu kwa njia ya mikono, baada ya muda mfupi akarudi kwenye gari , gari la watu hao likiwa limegeuzwa kuangalia lilikotoka ndipo akashuka mtu huyo na silaha aina ya SMG. Muda wote huyo amemzuia Mhe. Lissu ashishuke, kwanini? , kulikuwa na nini hapo? Kulikuwa na umbali gani kutoka kwenye gari kuingia ndani ya nyumbani mpaka washindwe kuondoka?
4. Kwanini amlaze bosi wake kwenye kiti chake lakini yeye ajifiche uvunguni mwa gari lingine lililokuwa limeegeshwa pembeni? Lissu alikuwa anaendeshwa na Dereva kama roboti? Yeye hakutaka kujiongeza? Siyo kwamba huyu Dereva aliandaliwa kitaalam namna ya kumjengea hofu Lissu ili ashindwe kuchukua maamuzi sahihi ya kujiokoa?
5. Eti mmoja wa watu waliomshambulia Lissu walikutana Rose Garden, kwamba aliwatambua kwa vile walishuka kwenye gari lililokuwa linawafuatilia. Je baada ya kuwaona huko Rose Garden alichukua hatua yoyote kuweza kuwatambua , kutoa taarifa yoyote au hata kumjulisha Mhe. Lissu kuwa amewaona watu waliokuwa wakitumia gari lililokuwa likiwafuatilia? Kama jibu ni hapana, siyo kwamba alikutana na watu hao kupanga njama za yeye kusaidia kudhuriwa kwa Bosi wake?
6. Dereva Simon anasema gari lililokuwa na wahalifu lilikuwa limepaki pembeni mwa gari lao(maana yake ni karibu sana) na kwamba silaha iliyotumika ni SMG. Kwa mujibu wa wataalam wa silaha, SMG ina uwezo wa kujeruhi umbali wa mita 1000, Kwa umbali kati ya gari la Lissu na wahalifu ni wazi kama silaha ilikuwa SMG, risasi zingine zingeweza kupita tumboni mwa Lissu na kutoka nje na hata kutoboa gari , je zipo risasi za aina hiyo zilionekana kupenya tumboni na kwenda nje?
Maswali ni mengi sana. Lakini jambo muhimu kwa jinsi huyu Dereva anavyojichanganya, alitakiwa ajieleze Polisi kwa amri tena akiwa ametiwa pingu.
Waungwana tuwe na subira katika kipindi hiki.......
Kitu pekee cha muhimu kwa sasa ni kuombea hali ya Lissu itengemae......
Kitu muhimu kwa sasa ni uhai wa Lissu......
huwa mnaua kwa kiwango gan?Ukweli huyu dereva kaandaliwa hayo maelezo. Na ni suspect namba moja pamoja na Mh. Mbowe. Inabidi wawakamate kupitia interpol ili warudi watoe maelezo vizuri. Nadhani Mh. Mbowe na Mh. Lowasa huu mchezo wanaujua vizuri. Serikali yetu haiwezi kuua mtu kwa kiwango cha namna hii, na hawana rekodi huko nyuma za uharifu.