Sehemu ya maelezo ya dereva wa Lissu yanazidi kuibua maswali mengi. Polisi wamhoji hata kwa nguvu

JINOME

JF-Expert Member
May 29, 2017
958
1,424
Nimesoma kwa makini taarifa hiyo ambayo imesambaa kwenye mitandao ya kijamii huku chanzo chake kikitajwa kuwa ni gazeti ambalo hata hivyo jina lake halikubainishwa. Taarifa hii inaibua maswali mengi machache ni haya:

1. Maelezo ya awali kutoka viongozi wakuu wa CHADEMA walisema gari ni moja aina ya Nissan Patrol na kwamba namba zake hazikujulikana. Leo dereva Simon anasema ni magari mawili tena akibainisha kuwa namba za Nissan Patrol ni T 932 AKN. Dereva Simon aliwadanganya Viongozi wake? Alifanya hivyo ili iweje? Namba za Land Cruiser ni zipi?

2. Kwanini alichelewa kumpa Mh. Lisssu taarifa ya kufuatiliwa na magari hayo kuanzia Bungeni na kusubiri mpaka wafike nyumbani wakati wa kushuka jambo ambalo pengine lingesaidia bosi wake kuwa na mawazo mbadala juu ya hatua za kuchukua? Kwanini aliegesha gari kwa namna ambayo ilisaidia kurushiwa risasi Mhe. Lissu kirahisi wakati angeweza kuegesha vinginevyo na hivyo wahalifu wakashindwa kutekeleza lengo lao?
3. Eti akashuka mtu akijifanya kuongea na mtu kwa njia ya mikono, baada ya muda mfupi akarudi kwenye gari , gari la watu hao likiwa limegeuzwa kuangalia lilikotoka ndipo akashuka mtu huyo na silaha aina ya SMG. Muda wote huyo amemzuia Mhe. Lissu ashishuke, kwanini? , kulikuwa na nini hapo? Kulikuwa na umbali gani kutoka kwenye gari kuingia ndani ya nyumbani mpaka washindwe kuondoka?

4. Kwanini amlaze bosi wake kwenye kiti chake lakini yeye ajifiche uvunguni mwa gari lingine lililokuwa limeegeshwa pembeni? Lissu alikuwa anaendeshwa na Dereva kama roboti? Yeye hakutaka kujiongeza? Siyo kwamba huyu Dereva aliandaliwa kitaalam namna ya kumjengea hofu Lissu ili ashindwe kuchukua maamuzi sahihi ya kujiokoa?

5. Eti mmoja wa watu waliomshambulia Lissu walikutana Rose Garden, kwamba aliwatambua kwa vile walishuka kwenye gari lililokuwa linawafuatilia. Je baada ya kuwaona huko Rose Garden alichukua hatua yoyote kuweza kuwatambua , kutoa taarifa yoyote au hata kumjulisha Mhe. Lissu kuwa amewaona watu waliokuwa wakitumia gari lililokuwa likiwafuatilia? Kama jibu ni hapana, siyo kwamba alikutana na watu hao kupanga njama za yeye kusaidia kudhuriwa kwa Bosi wake?

6. Dereva Simon anasema gari lililokuwa na wahalifu lilikuwa limepaki pembeni mwa gari lao(maana yake ni karibu sana) na kwamba silaha iliyotumika ni SMG. Kwa mujibu wa wataalam wa silaha, SMG ina uwezo wa kujeruhi umbali wa mita 1000, Kwa umbali kati ya gari la Lissu na wahalifu ni wazi kama silaha ilikuwa SMG, risasi zingine zingeweza kupita tumboni mwa Lissu na kutoka nje na hata kutoboa gari , je zipo risasi za aina hiyo zilionekana kupenya tumboni na kwenda nje?

Maswali ni mengi sana. Lakini jambo muhimu kwa jinsi huyu Dereva anavyojichanganya, alitakiwa ajieleze Polisi kwa amri tena akiwa ametiwa pingu.
 
Nimesoma kwa makini taarifa hiyo ambayo imesambaa kwenye mitandao ya kijamii huku chanzo chake kikitajwa kuwa ni gazeti ambalo hata hivyo jina lake halikubainishwa. Taarifa hii inaibua maswali mengi machache ni haya:
1. Maelezo ya awali kutoka viongozi wakuu wa CHADEMA walisema gari ni moja aina ya Nissan Patrol na kwamba namba zake hazikujulikana. Leo dereva Simon anasema ni magari mawili tena akibainisha kuwa namba za Nissan Patrol ni T 932 AKN. Dereva Simon aliwadanganya Viongozi wake? Alifanya hivyo ili iweje? Namba za Land Cruiser ni zipi?
2. Kwanini alichelewa kumpa Mh. Lisssu taarifa ya kufuatiliwa na magari hayo kuanzia Bungeni na kusubiri mpaka wafike nyumbani wakati wa kushuka jambo ambalo pengine lingesaidia bosi wake kuwa na mawazo mbadala juu ya hatua za kuchukua? Kwanini aliegesha gari kwa namna ambayo ilisaidia kurushiwa risasi Mhe. Lissu kirahisi wakati angeweza kuegesha vinginevyo na hivyo wahalifu wakashindwa kutekeleza lengo lao?
3. Eti akashuka mtu akijifanya kuongea na mtu kwa njia ya mikono, baada ya muda mfupi akarudi kwenye gari , gari la watu hao likiwa limegeuzwa kuangalia lilikotoka ndipo akashuka mtu huyo na silaha aina ya SMG. Muda wote huyo amemzuia Mhe. Lissu ashishuke, kwanini? , kulikuwa na nini hapo? Kulikuwa na umbali gani kutoka kwenye gari kuingia ndani ya nyumbani mpaka washindwe kuondoka?
4. Kwanini amlaze bosi wake kwenye kiti chake lakini yeye ajifiche uvunguni mwa gari lingine lililokuwa limeegeshwa pembeni? Lissu alikuwa anaendeshwa na Dereva kama roboti? Yeye hakutaka kujiongeza? Siyo kwamba huyu Dereva aliandaliwa kitaalam namna ya kumjengea hofu Lissu ili ashindwe kuchukua maamuzi sahihi ya kujiokoa?
5. Eti mmoja wa watu waliomshambulia Lissu walikutana Rose Garden, kwamba aliwatambua kwa vile walishuka kwenye gari lililokuwa linawafuatilia. Je baada ya kuwaona huko Rose Garden alichukua hatua yoyote kuweza kuwatambua , kutoa taarifa yoyote au hata kumjulisha Mhe. Lissu kuwa amewaona watu waliokuwa wakitumia gari lililokuwa likiwafuatilia? Kama jibu ni hapana, siyo kwamba alikutana na watu hao kupanga njama za yeye kusaidia kudhuriwa kwa Bosi wake?
6. Dereva Simon anasema gari lililokuwa na wahalifu lilikuwa limepaki pembeni mwa gari lao(maana yake ni karibu sana) na kwamba silaha iliyotumika ni SMG. Kwa mujibu wa wataalam wa silaha, SMG ina uwezo wa kujeruhi umbali wa mita 1000, Kwa umbali kati ya gari la Lissu na wahalifu ni wazi kama silaha ilikuwa SMG, risasi zingine zingeweza kupita tumboni mwa Lissu na kutoka nje na hata kutoboa gari , je zipo risasi za aina hiyo zilionekana kupenya tumboni na kwenda nje?

Maswali ni mengi sana. Lakini jambo muhimu kwa jinsi huyu Dereva anavyojichanganya, alitakiwa ajieleze Polisi kwa amri tena akiwa ametiwa pingu
Wayatafute kwanza magari na kuwakamata wahusika na kuwahoji sio kumtafuta victim asiye na makosa
 
Nimesoma kwa makini taarifa hiyo ambayo imesambaa kwenye mitandao ya kijamii huku chanzo chake kikitajwa kuwa ni gazeti ambalo hata hivyo jina lake halikubainishwa. Taarifa hii inaibua maswali mengi machache ni haya:
1. Maelezo ya awali kutoka viongozi wakuu wa CHADEMA walisema gari ni moja aina ya Nissan Patrol na kwamba namba zake hazikujulikana. Leo dereva Simon anasema ni magari mawili tena akibainisha kuwa namba za Nissan Patrol ni T 932 AKN. Dereva Simon aliwadanganya Viongozi wake? Alifanya hivyo ili iweje? Namba za Land Cruiser ni zipi?
2. Kwanini alichelewa kumpa Mh. Lisssu taarifa ya kufuatiliwa na magari hayo kuanzia Bungeni na kusubiri mpaka wafike nyumbani wakati wa kushuka jambo ambalo pengine lingesaidia bosi wake kuwa na mawazo mbadala juu ya hatua za kuchukua? Kwanini aliegesha gari kwa namna ambayo ilisaidia kurushiwa risasi Mhe. Lissu kirahisi wakati angeweza kuegesha vinginevyo na hivyo wahalifu wakashindwa kutekeleza lengo lao?
3. Eti akashuka mtu akijifanya kuongea na mtu kwa njia ya mikono, baada ya muda mfupi akarudi kwenye gari , gari la watu hao likiwa limegeuzwa kuangalia lilikotoka ndipo akashuka mtu huyo na silaha aina ya SMG. Muda wote huyo amemzuia Mhe. Lissu ashishuke, kwanini? , kulikuwa na nini hapo? Kulikuwa na umbali gani kutoka kwenye gari kuingia ndani ya nyumbani mpaka washindwe kuondoka?
4. Kwanini amlaze bosi wake kwenye kiti chake lakini yeye ajifiche uvunguni mwa gari lingine lililokuwa limeegeshwa pembeni? Lissu alikuwa anaendeshwa na Dereva kama roboti? Yeye hakutaka kujiongeza? Siyo kwamba huyu Dereva aliandaliwa kitaalam namna ya kumjengea hofu Lissu ili ashindwe kuchukua maamuzi sahihi ya kujiokoa?
5. Eti mmoja wa watu waliomshambulia Lissu walikutana Rose Garden, kwamba aliwatambua kwa vile walishuka kwenye gari lililokuwa linawafuatilia. Je baada ya kuwaona huko Rose Garden alichukua hatua yoyote kuweza kuwatambua , kutoa taarifa yoyote au hata kumjulisha Mhe. Lissu kuwa amewaona watu waliokuwa wakitumia gari lililokuwa likiwafuatilia? Kama jibu ni hapana, siyo kwamba alikutana na watu hao kupanga njama za yeye kusaidia kudhuriwa kwa Bosi wake?
6. Dereva Simon anasema gari lililokuwa na wahalifu lilikuwa limepaki pembeni mwa gari lao(maana yake ni karibu sana) na kwamba silaha iliyotumika ni SMG. Kwa mujibu wa wataalam wa silaha, SMG ina uwezo wa kujeruhi umbali wa mita 1000, Kwa umbali kati ya gari la Lissu na wahalifu ni wazi kama silaha ilikuwa SMG, risasi zingine zingeweza kupita tumboni mwa Lissu na kutoka nje na hata kutoboa gari , je zipo risasi za aina hiyo zilionekana kupenya tumboni na kwenda nje?

Maswali ni mengi sana. Lakini jambo muhimu kwa jinsi huyu Dereva anavyojichanganya, alitakiwa ajieleze Polisi kwa amri tena akiwa ametiwa pingu
Maswali ya kipuuzi kabisa hayo unayouliza.Cha muhimu hayo magari namba zake zimeshatajwa na lile la awali lissu alilitaja,Polisi waseme ni ya nani?TRA yamesajiliwaje?pili maganda ya risasi yana serial namba ziangaliwe zilinunuliwa wapi nani alikua Nazo etc,Tatu stoo za silaha za serikali ziseme silaha za smg zilikua na nani siku hiyo na wapi?
 
Nimesoma kwa makini taarifa hiyo ambayo imesambaa kwenye mitandao ya kijamii huku chanzo chake kikitajwa kuwa ni gazeti ambalo hata hivyo jina lake halikubainishwa. Taarifa hii inaibua maswali mengi machache ni haya:
1. Maelezo ya awali kutoka viongozi wakuu wa CHADEMA walisema gari ni moja aina ya Nissan Patrol na kwamba namba zake hazikujulikana. Leo dereva Simon anasema ni magari mawili tena akibainisha kuwa namba za Nissan Patrol ni T 932 AKN. Dereva Simon aliwadanganya Viongozi wake? Alifanya hivyo ili iweje? Namba za Land Cruiser ni zipi?
2. Kwanini alichelewa kumpa Mh. Lisssu taarifa ya kufuatiliwa na magari hayo kuanzia Bungeni na kusubiri mpaka wafike nyumbani wakati wa kushuka jambo ambalo pengine lingesaidia bosi wake kuwa na mawazo mbadala juu ya hatua za kuchukua? Kwanini aliegesha gari kwa namna ambayo ilisaidia kurushiwa risasi Mhe. Lissu kirahisi wakati angeweza kuegesha vinginevyo na hivyo wahalifu wakashindwa kutekeleza lengo lao?
3. Eti akashuka mtu akijifanya kuongea na mtu kwa njia ya mikono, baada ya muda mfupi akarudi kwenye gari , gari la watu hao likiwa limegeuzwa kuangalia lilikotoka ndipo akashuka mtu huyo na silaha aina ya SMG. Muda wote huyo amemzuia Mhe. Lissu ashishuke, kwanini? , kulikuwa na nini hapo? Kulikuwa na umbali gani kutoka kwenye gari kuingia ndani ya nyumbani mpaka washindwe kuondoka?
4. Kwanini amlaze bosi wake kwenye kiti chake lakini yeye ajifiche uvunguni mwa gari lingine lililokuwa limeegeshwa pembeni? Lissu alikuwa anaendeshwa na Dereva kama roboti? Yeye hakutaka kujiongeza? Siyo kwamba huyu Dereva aliandaliwa kitaalam namna ya kumjengea hofu Lissu ili ashindwe kuchukua maamuzi sahihi ya kujiokoa?
5. Eti mmoja wa watu waliomshambulia Lissu walikutana Rose Garden, kwamba aliwatambua kwa vile walishuka kwenye gari lililokuwa linawafuatilia. Je baada ya kuwaona huko Rose Garden alichukua hatua yoyote kuweza kuwatambua , kutoa taarifa yoyote au hata kumjulisha Mhe. Lissu kuwa amewaona watu waliokuwa wakitumia gari lililokuwa likiwafuatilia? Kama jibu ni hapana, siyo kwamba alikutana na watu hao kupanga njama za yeye kusaidia kudhuriwa kwa Bosi wake?
6. Dereva Simon anasema gari lililokuwa na wahalifu lilikuwa limepaki pembeni mwa gari lao(maana yake ni karibu sana) na kwamba silaha iliyotumika ni SMG. Kwa mujibu wa wataalam wa silaha, SMG ina uwezo wa kujeruhi umbali wa mita 1000, Kwa umbali kati ya gari la Lissu na wahalifu ni wazi kama silaha ilikuwa SMG, risasi zingine zingeweza kupita tumboni mwa Lissu na kutoka nje na hata kutoboa gari , je zipo risasi za aina hiyo zilionekana kupenya tumboni na kwenda nje?

Maswali ni mengi sana. Lakini jambo muhimu kwa jinsi huyu Dereva anavyojichanganya, alitakiwa ajieleze Polisi kwa amri tena akiwa ametiwa pingu
Alimpa taarifa tangu lini
 
Nimesoma kwa makini taarifa hiyo ambayo imesambaa kwenye mitandao ya kijamii huku chanzo chake kikitajwa kuwa ni gazeti ambalo hata hivyo jina lake halikubainishwa. Taarifa hii inaibua maswali mengi machache ni haya:
1. Maelezo ya awali kutoka viongozi wakuu wa CHADEMA walisema gari ni moja aina ya Nissan Patrol na kwamba namba zake hazikujulikana. Leo dereva Simon anasema ni magari mawili tena akibainisha kuwa namba za Nissan Patrol ni T 932 AKN. Dereva Simon aliwadanganya Viongozi wake? Alifanya hivyo ili iweje? Namba za Land Cruiser ni zipi?
2. Kwanini alichelewa kumpa Mh. Lisssu taarifa ya kufuatiliwa na magari hayo kuanzia Bungeni na kusubiri mpaka wafike nyumbani wakati wa kushuka jambo ambalo pengine lingesaidia bosi wake kuwa na mawazo mbadala juu ya hatua za kuchukua? Kwanini aliegesha gari kwa namna ambayo ilisaidia kurushiwa risasi Mhe. Lissu kirahisi wakati angeweza kuegesha vinginevyo na hivyo wahalifu wakashindwa kutekeleza lengo lao?
3. Eti akashuka mtu akijifanya kuongea na mtu kwa njia ya mikono, baada ya muda mfupi akarudi kwenye gari , gari la watu hao likiwa limegeuzwa kuangalia lilikotoka ndipo akashuka mtu huyo na silaha aina ya SMG. Muda wote huyo amemzuia Mhe. Lissu ashishuke, kwanini? , kulikuwa na nini hapo? Kulikuwa na umbali gani kutoka kwenye gari kuingia ndani ya nyumbani mpaka washindwe kuondoka?
4. Kwanini amlaze bosi wake kwenye kiti chake lakini yeye ajifiche uvunguni mwa gari lingine lililokuwa limeegeshwa pembeni? Lissu alikuwa anaendeshwa na Dereva kama roboti? Yeye hakutaka kujiongeza? Siyo kwamba huyu Dereva aliandaliwa kitaalam namna ya kumjengea hofu Lissu ili ashindwe kuchukua maamuzi sahihi ya kujiokoa?
5. Eti mmoja wa watu waliomshambulia Lissu walikutana Rose Garden, kwamba aliwatambua kwa vile walishuka kwenye gari lililokuwa linawafuatilia. Je baada ya kuwaona huko Rose Garden alichukua hatua yoyote kuweza kuwatambua , kutoa taarifa yoyote au hata kumjulisha Mhe. Lissu kuwa amewaona watu waliokuwa wakitumia gari lililokuwa likiwafuatilia? Kama jibu ni hapana, siyo kwamba alikutana na watu hao kupanga njama za yeye kusaidia kudhuriwa kwa Bosi wake?
6. Dereva Simon anasema gari lililokuwa na wahalifu lilikuwa limepaki pembeni mwa gari lao(maana yake ni karibu sana) na kwamba silaha iliyotumika ni SMG. Kwa mujibu wa wataalam wa silaha, SMG ina uwezo wa kujeruhi umbali wa mita 1000, Kwa umbali kati ya gari la Lissu na wahalifu ni wazi kama silaha ilikuwa SMG, risasi zingine zingeweza kupita tumboni mwa Lissu na kutoka nje na hata kutoboa gari , je zipo risasi za aina hiyo zilionekana kupenya tumboni na kwenda nje?

Maswali ni mengi sana. Lakini jambo muhimu kwa jinsi huyu Dereva anavyojichanganya, alitakiwa ajieleze Polisi kwa amri tena akiwa ametiwa pingu
Subirini ukweli uwaingie kwanza!!

Yaaani ndio imeshindikana kuikamata Nissan nyeupe?
 
Hawa wanafanya ujanja watajiumbu wao tu..

Huyo dereva alibeba nguo inazodaiwa ni damu ya Lissu
Ila yeye hama damu sehemu ambazo lazima zingekuwepo.. kama alimsaidia kumtoa kwenye gari au sijui alimshika kama takataka kumtoa asimguse mwili wake!!! sijui aliita watu wambebe na yeye kusubiri avuliwe nguo apewe halafu zinguse kidogo chini kwa shati..alipata muda wa kubadili nguo wapi au nani alimpa shati au alifikiria kubadili shati awe msafi aende hospitali.. kashika nguo wanazodai ni damu ya Lissu!!!! Maana hii kitu inamengi shaaaa

IMG-20170907-WA0082.jpg
 
Ukweli huyu dereva kaandaliwa hayo maelezo. Na ni suspect namba moja pamoja na Mh. Mbowe. Inabidi wawakamate kupitia interpol ili warudi watoe maelezo vizuri. Nadhani Mh. Mbowe na Mh. Lowasa huu mchezo wanaujua vizuri. Serikali yetu haiwezi kuua mtu kwa kiwango cha namna hii, na hawana rekodi huko nyuma za uharifu.
 
26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom