Pia kampuni ambayo yupo inalipa vizuri sana kwa nafasi za juu ila level alippo jamaa malipo ni ya kawaida, usaili mwingi humshangaa why anataka asepe hiyo sehemu wakati kuna watu wanapahitaji, hupelekea kumchunguza labda kaharibu, hata wakipeleleza kupitia watu wengine hufikisha taarifa kwa boss wake kuwa kijana wako naona anataka akukimbie, hapo boss nae hutumia njia zake kuhakikisha jamaa hatoboi