Sehemu ya Kazi inapogeuka sehemu ya stress na migogoro

Ntamfungua macho aache kuzubaa
Watu wanapopata dharura wanatengeneza ugonjwa/ED unaenda kupiga interview, muda mwingine watu huwa wanasingizia hata msiba ili waende kupiga interview.

Sasa huyo Boss atakufuata hadi nyumbani kwako na bakora akulazimishe uende kazini wakati unaumwa?Hata kama huna ED ukatega siku 2 siku ya 3 ukaenda kazini huyo Boss atakufanya nini kwa mfano?

Maana kisheria unatakiwa ukitega kazini nafikiri kwa siku 4 mfululizo ndio wanaweza kukufukuza kazi,chini ya hapo hawana uwezo wa kukufukuza mwambie aache uoga wa enzi za utumwa/ukoloni.
 
Pia kampuni ambayo yupo inalipa vizuri sana kwa nafasi za juu ila level alippo jamaa malipo ni ya kawaida, usaili mwingi humshangaa why anataka asepe hiyo sehemu wakati kuna watu wanapahitaji, hupelekea kumchunguza labda kaharibu, hata wakipeleleza kupitia watu wengine hufikisha taarifa kwa boss wake kuwa kijana wako naona anataka akukimbie, hapo boss nae hutumia njia zake kuhakikisha jamaa hatoboi
Hilo gumu, linahitaji maamuzi magumu.

Kama vipi ajipange halafu aache kazi, ndio atafute nyingine. Hizo fitna nimeziona sana ndio maana sishangai. Mtu mwingine namfahamu jamaa walienda kumchomea mpaka HQ ya multinational Paris France huko. Bahati nzuri alikuwa vizuri sana wakapuuzia fitna.
 
Yes uko sahihi mkuu.
Kumfanya Bosi kama mungu au kuifanya kampuni bila wao hautaishi ni ujinga wa hali ya juu.
Tena ni ujinga mara mbili kwa mtu aliyesoma na ana vyeti halafu maisha yako yaamuliwe na mtu mmoja.
Yeye nae ni muoga Wa maisha yani ww unaomba sehemu na unajua unauwezo wa kuchukuliwa kwa %kumbwa afu unamnganda huyo ambae hakuongezei mshahara, mfuate boss mwambie mm kuanzia siku fulan mm sitoendelea na offc hii sababu hizi na hiz nahitaji kukua na nimeshakuwa na nyiny mda mrefu ila wakati wa mabadiliko kwangu ni Sasa km siyapati hapa acha nikayatafute pengine
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom