Sehemu tano za kushangaza duniani

Sehemu tano za kushangaza duniani

5. Volcanic Lightning in Iceland

Ukienda eneo hili volcano yake ni ya tofauti kabisa na maeneo mengine kwani eneo hili volcano yake ni hatari zaidi, inatoka na radi pamoja na umeme, tofauti na maeneo mengine.

Maybe this is due to very cold climate in Iceland and volcano (molten magma) is very hot so on top of mountain we are seeing Sparks and lightning because of very hot gases(air)and very cold air meet together.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ili eneo halikutokea tu likawaka moto kwanza haliko Urusi ila liko turkmenistan. Walipogundua gas ma engineer kanjanja wa huko wakaanza kujenga miundombinu ya kuivuna, lakini bahatimbaya ardhi ikadidimia na kuacha shimo huku gas ya methane ikisambaa na ni hatari sana. Eti wakaja na wazo bora kwa mujibu wa mawazo yao wakaamua kuwasha moto kuzuia kuendelea kusambaa kwa hiyo gas. Toka kipindi hicho huo motounawaka tu.
NChi hiyo ina raisi ambaye ni msanii wa mziki halafu akitoa nyimbo lazima raia na mawaziri wazikalili waziimbe. Halafu anapenda kuuza sura hatari kwanza anashiriki mbio za magari. China ndiye mnunuzi mkubwa wa gas hiyo
 
nilitegemea ningeikuta gamboshi, na Yale mawe yanayocheza kule ukerewe
Gamboshi nasikia ukienda mchana hamna kitu ila usiku unakuta bonge la jiji.
 
ili eneo halikutokea tu likawaka moto kwanza haliko Urusi ila liko turkmenistan. Walipogundua gas ma engineer kanjanja wa huko wakaanza kujenga miundombinu ya kuivuna, lakini bahatimbaya ardhi ikadidimia na kuacha shimo huku gas ya methane ikisambaa na ni hatari sana. Eti wakaja na wazo bora kwa mujibu wa mawazo yao wakaamua kuwasha moto kuzuia kuendelea kusambaa kwa hiyo gas. Toka kipindi hicho huo motounawaka tu.
NChi hiyo ina raisi ambaye ni msanii wa mziki halafu akitoa nyimbo lazima raia na mawaziri wazikalili waziimbe. Halafu anapenda kuuza sura hatari kwanza anashiriki mbio za magari. China ndiye mnunuzi mkubwa wa gas hiyo
kuna watu hapa wanaleta matango pori daily Ahsante mkuu kwa kumdungua huyu
 
Dunia ina maajabu yake. Basi leo tuangalie baadhi tu ya maeneo ambayo hukufikiria kama yanaweza kuwepo duniani na utastaajabia maajabu ya Mungu katika uumbaji wake.

1. Gates of Hell
Eneo hili lipo Russia, ni kama shimo kubwa linalowaka moto ambao hauzimiki ndani yake. Eneo hili lilikuwa kawaida hapo zamani, ikagundulika kuna gas, katika harakati za uchimbaji wa gasi hiyo ndipo walipokutana na moto, walifikiri utazimika lakini mpaka leo bado unawaka. Basi pakaitwa Gates of Hell, yaani malango ya kuzimu.

2. Reflective Salt Flats

Eneo hili lipo Bolivia, ukienda ni kama kioo unajitazama kwa chini na ni eneo kubwa lenye heka za kutosha, eneo lote lipo kama kioo unajiona chini kama vile umekanyaga kioo.

3. Shimmering Shores of Vaadhoo Maldives

Hii ni Beach ambayo maji yake ni ya kawaida lakini ukiyagusa au yakapigwa na upepo yanakuwa na rangi kama ya shoti ya umeme. Hata ukitizama mawimbi yake ni ya hivyohivyo.

4. Pink Lake Hillier

Eneo hili lipo Australia. Tumezoea kuona maji ya ziwa au bahari yakiwa na mwonekano wa rangi ya blue, japokuwa maji kama maji huwa hayana rangi. Eneo hili maajabu yake hili ziwa mwonekano wake ni wa rangi ya pink kitu ambacho sio cha kawaida.

5. Volcanic Lightning in Iceland

Ukienda eneo hili volcano yake ni ya tofauti kabisa na maeneo mengine kwani eneo hili volcano yake ni hatari zaidi, inatoka na radi pamoja na umeme, tofauti na maeneo mengine.

Kwenye hii video nilijaribu kuonyesha real clip za maeneo hayo niliyoyataja hapo juu. Bahati mbaya kipande cha kwanza cha Gates of Hell kikawa na restriction ikabidi nikikate. Kwahyo nitaweka picha tu ila maeneo mengine, namba 2 hadi 5 yapo yanaonekana real clip zake

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeongeza kitu
 
Volcanic lighting huko Iceland
images.jpg
images (1).jpg
images (2).jpg


Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom