Sehemu nzuri za kuzuru mwezi ujao kwa budget ya chini

Mikumi kuna nini cha kuvutia?
2.gharama zake zikoje hotels?
3.je kutembelea mbuga kwa mfano inagharimu kiasi gani kwasababu niliwahi kutembelea maeneo ya mikumi nilipata taabu sana nikaambiwa labda nikodi gari langu wao hawana magari,but nikabembeleza na kulazimisha nikatumia gari lao,wao waliniambia labda niende mikumi mjini kuna magari ya kukodisha kule...
We jamaa umenichekesha ha ha ha sasa ulitaka ukatembee mbugani kwa miguu lazima ukodi gari au uwe na lakwako mikumi kuna Camp site nzuri sana watu wanaopenda safari wananielewa
 
Samahani ukitaka kwenda Udzungwa
1.Unapanda mabasi ya kuelekea wapi?
2.Hotel nzuri ni zipi na bei zake zikoje?
3.NI VIvutio gani mtu anaweza kfaidika?
Mkuu uwe unasoma kwanza kabla ya kukoment huo uzi ulio quote nimesema unapanda mabasi ya kwenda ifakara more information google wana website yao utapata taarifa zote unazotaka.
 
We jamaa umenichekesha ha ha ha sasa ulitaka ukatembee mbugani kwa miguu lazima ukodi gari au uwe na lakwako mikumi kuna Camp site nzuri sana watu wanaopenda safari wananielewa

Sasa kuna kipi cha kuchekesha hapa....

Je nikikuchekesha....

Mwisho unasema google...kwani tangu mwanzo usiseme watu wa google badala yake ukatoa taarifa sijui unapanda gari ya ifakara....

Maswali yangu ya cost hujajibu pia...uwe una reasoning logically, critically, analytically,coherent...na sio kutaka sifa tuu jukwaani...

Unapotoa info toa full, na jaribu kuelezea kitu as if watu ni wageni ili hata layman anajua...bila hivyo tusingekuja hapa wote tunge google tuu...
kifinga bwanaaa....basi tuu.
 
Kilimanjaro na Arusha kipindi hiki ni Joto
Naomba ukatembelee vivutio vya Mlima Kilimanjaro na jirani zake
Lala katika Mji wa Himo bei ni tahisi sana na kuna hali nzuri ya hewa
  1. siku ya kwanza nenda Marangu tembelea kituo cha maanguko ya maji ya Kinukamori utaona maajabu kibao, kuna mapango na sehemu nyingi za maanguko ya maji
  2. siku inayofuata kutokea Himo unashika njia ya Rombo unaenda ziwa Chala lipo mpakani na Kenya nalo lina maajabu yake
  3. siku inayofuata unavuka mpaka unaingia Kenya Taveta huko unaweza kupata exchange kupitia Vodacom kwa Safari com na kusafisha macho ukafika hadi Voi na kugeuza Himo. Mabasi mengi yanayoenda Mombasa yanaondoka Moshi saa 2usiku wewe panda mabasi ya mchana ili ufaidi utakacho
  4. sasa unaweza tembelea milima ya Upareni na kurudi Himo
  5. unaweza tembelea Arusha hata mbuga za wanyama
  6. naona laki 5 itakuwa imeisha


aisee ! nahis kale kasafari ketu katawiva hapa !kitu kenya@demi
 
Kuna mikoa ina wilaya za mbali, kiasi kutoka wilaya A kwenda wilaya B ni almost safari ya kutwa nzima! Mf kutoka Morogoro Mjini mpk Ulanga, Mahenge! Ka unataka kusafiri hiyo pia nzuri. Njoo Mahenge huku hutajutia mapumziko yako! Mwanajf nipo, Mahenge tumejaa ukarimu. Huo mwezi unaokuja tutakuwa tushafunga shule.


ohh we ni mwalimu au mwanafunzi !nazijua hizo sehem aisee ni kuzuri nimefika mbingu nk !nije kula samak wa huko wale wakavu!
 
ohh we ni mwalimu au mwanafunzi !nazijua hizo sehem aisee ni kuzuri nimefika mbingu nk !nije kula samak wa huko wale wakavu!
Vitoga. Njuju. Njoo ule samaki MwanaJF mwenzangu. Mi Mwl, now tunamalizia kusimamia NECTA F4! Karibu sana. Huku hakuna joto.
 
Vitoga. Njuju. Njoo ule samaki MwanaJF mwenzangu. Mi Mwl, now tunamalizia kusimamia NECTA F4! Karibu sana. Huku hakuna joto.


nitakuja ... hv huko tren inapita ? nataman kupanda tren hatar
 
Hata Mi napenda kupanda treni. Kama ukija, kwenye kurudi nitakusindikiza mpk Ifakara, pale tutapanda ote TAZARA.


asante sana kaka mwanajf mwenzangu !nitawasiliana na ww dec.... !hata siku 2 sio mbaya !
 
Back
Top Bottom