Landala JF-Expert Member Dec 24, 2010 997 473 Mar 4, 2012 #1 Wadau naomba kushee kwa pamoja,eti ni sehemu ipi ni nzuri na muafaka kwa ajili ya mechi isiyokuwa na jezi,je ni kwenye kochi,chini,juu ya meza,juu ya sinki,kitandani,bafuni,chooni,kwenye stuli.Tufahamishane wakuu ili tuongeze ujuzi.
Wadau naomba kushee kwa pamoja,eti ni sehemu ipi ni nzuri na muafaka kwa ajili ya mechi isiyokuwa na jezi,je ni kwenye kochi,chini,juu ya meza,juu ya sinki,kitandani,bafuni,chooni,kwenye stuli.Tufahamishane wakuu ili tuongeze ujuzi.
Chauro JF-Expert Member Aug 20, 2010 2,968 1,476 Mar 4, 2012 #2 mh ukiambiwa vua nguo barabarani utavua akili changanya na zako sio kila jambo la kuuliza
cartura JF-Expert Member Aug 13, 2009 3,026 788 Mar 4, 2012 #3 popote ili mradi kuna privacy, hakuna distractions na munkari uko juu...
Tango73 JF-Expert Member Dec 14, 2008 2,128 1,225 Mar 4, 2012 #4 cartura said: popote ili mradi kuna privacy, hakuna distractions na munkari uko juu... Click to expand... huu ni ujuzi usio na kozi wala maswali.Ile ndotto ya kubalehe ndiyo itakuambia uwe unafanyaje kila ukimpata msichana .
cartura said: popote ili mradi kuna privacy, hakuna distractions na munkari uko juu... Click to expand... huu ni ujuzi usio na kozi wala maswali.Ile ndotto ya kubalehe ndiyo itakuambia uwe unafanyaje kila ukimpata msichana .
fazaa JF-Expert Member May 20, 2009 2,984 1,030 Mar 4, 2012 #5 Hakuna kama kwenye bahari, mnaelea elea kama watu wamekosa balance.
Rutashubanyuma JF-Expert Member Sep 24, 2010 219,470 911,174 Mar 4, 2012 #7 mh ukiambiwa vua nguo barabarani utavua akili changanya na zako sio kila jambo la kuuliza Click to expand... safari hii Chauro naona umekuwa mkali sana
mh ukiambiwa vua nguo barabarani utavua akili changanya na zako sio kila jambo la kuuliza Click to expand... safari hii Chauro naona umekuwa mkali sana
BADILI TABIA JF-Expert Member Jun 13, 2011 32,772 23,164 Mar 4, 2012 #9 kituo cha bus, jaribuni hapo na mpenzio! Mtaenjoy
A admiral elect Member Nov 30, 2011 93 29 Mar 4, 2012 #13 JS said: Uvunguni Click to expand... no,juu ya paa ndo pazuri hasa paa lenyewe liwe mgongo wa tembo