LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 862
- 1,097
Kama kweli waziri wa fedha amesaini kuanza kutumika kwa tozo kwa miamala ya kuweka au kutoa fedha ATM na benki, kwa mtazamo mwingine ni kuwa fedha ya ongezeko la mshahara sehemu kubwa kama sio yote itarudi serikalini kama tozo, kwa sababu ulipaji mishahara hasa wa wafanyakazi wa serikalini lazima upitie benki.
Kwa vyovyote vile mfanyakazi arudishe fedha hiyo kama tozo ya kutolea, hizi ni failure kwa wizara na inaleta malalamiko ya wananchi. Watu bado wanajiuliza inakuwaje TRA inajinasibu kukusanya kwa kuvunja rekodi, halafu bado vyanzo kama hivi vinaanzishwa inashangaza.
Kwa vyovyote vile mfanyakazi arudishe fedha hiyo kama tozo ya kutolea, hizi ni failure kwa wizara na inaleta malalamiko ya wananchi. Watu bado wanajiuliza inakuwaje TRA inajinasibu kukusanya kwa kuvunja rekodi, halafu bado vyanzo kama hivi vinaanzishwa inashangaza.