Jaribu kumcheki jamaa pmHiyo ya mishkaki Mimi naitaka.
Hawahitaji uzoefu, nguvu ndio mtaji wako mkubwa pia hakikisha husumbuliwi na matatizo ya kifua maana kg25 kupanda nazo kileleni sio kazi ndogo ukizingatia kadri unavyokwenda juu hewa inakua nzito kidogo.Asante kwa kushare mkuu, vp hawahitaji uzoefu wowote kwa shughuli hiyo?
Portal=Porter(s)Unaweza kwenda moshi/Kilimanjaro ukifika pale moshi mjini ulizia ofisi za Ahsante tours ukifika waombe kazi ya uportal upandishe watalii mlimani lakini hata ukifika pale moshi ulizia unapoweza kupata connection ya maporta then kajichanganye najua utapata hela ya kula uanze maisha mdogo Mdogo baada ya mda ujichanganye na maeneo ya Arusha najua channel zitakua zimefunguka.
Shukrani kwa taarifa mkuuNenda Lindi au mtwara kuna kazi za kulimia mikorosho ukimaliza vipo vbarua vya kuokota korosho na kama afya iko poa nenda TPA mtwara kuna vibarua vya kubeba magunia ya korosho
Mkuu nenda pale nanenane wanapojenga stend mpya kajaribu kuomba vibarua vya saidia fundi au maeneo ya UDOM nasikia kuna ujenzi unaendelea wa ofisi za serikali.Dom mkuu, nipe ramani!
Kuna fursa zipi huko mkuu? Unaweza kuwa na a b c hasa kwa tusio na ujuzi wa ufundiFata standard gauge Wilaya ya Kilosa
Mkuu huu ni uzi wa vibarua tu, sehemu yoyote kama kuna vibarua tupia hapa sisi vibarua tupo!
Mkuu nipe mimi hicho kibanda cha chips tupige wote job,njoo pm nikupe mawasilianoUngekuwa Dar tungepiga kazi kibanda cha chips
Mkuu bila shaka una uenyeji maeneo hayo, tafadhali tujulishe mpk sasa aina ya vibarua ipatikanayo hapo ili tusijefunga safari tukakosa nauli za kurudi.Kuna kambi kubwa inajengwa na kilosa wanajenga ya waturuki kwa ajili ya wafanyakazi wa reli ya standard gauge. Iko poa na wageni wanaingia kilosa kufata ajira
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbwea, naomba nikutembelee pm unipe abc za chalinze hapoNjoo chalinze hapa kiwanda cha tiles kma kweli unashida na kibarua tuu
Sawa mkuu mihalo naisubiria ripoti yako..
Dodoma sehemu gani mkuuDom mkuu, nipe ramani!