DIRIMULAINA
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 484
- 881
Wakuu poleni kwa majukumu,
Hali ni mbaya! Ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo kubwa, humu najua kuna watu toka kila kona ya nchi hii na wa kada zote, naombeni kufahamishwa ni wapi naweza pata shughuli za vibarua iwe viwandani, mashambani, site za ujenzi n.k nikajitume huko ili nipate tu uhakika wa kula.
Naadhirika mtanzania mwenzenu, tusaidianeni tafadhali.
Hali ni mbaya! Ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo kubwa, humu najua kuna watu toka kila kona ya nchi hii na wa kada zote, naombeni kufahamishwa ni wapi naweza pata shughuli za vibarua iwe viwandani, mashambani, site za ujenzi n.k nikajitume huko ili nipate tu uhakika wa kula.
Naadhirika mtanzania mwenzenu, tusaidianeni tafadhali.