Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 4,291
- 14,782
c2c bar,inbox bar,white and black pub zpo kihesa huko
C2C lazima uondoke na Ukimwi!
Pale unakunywa halafu sepa!
c2c bar,inbox bar,white and black pub zpo kihesa huko
Mungu tutamkuta tukifa ila bata zipo tu (joke)hakika ukiipenda dunia, kumpenda Mungu hakumo ndani yako
Kwa zakiac2c bar,inbox bar,white and black pub zpo kihesa huko
vantela na mawagaMungu tutamkuta tukifa ila bata zipo tu (joke)
Kweli kabisa mkuu maandalizi ni muhimu haswaaa,, death is realhahahaaaa nimekusoma ndugu! shida ukikutana naye uko vizuri hamna taaabu kabisaaaa, mnaweza kuendeleza bata hukohuko mtakakokutana, ukiwa ovyoo unaweza usizione tenaaaaaaaaaaaaa
Hii Makanyagio ipoje? Inavutia? Ni Kubwa au?Makanyagio Mkwawa
Hahaha, umenikumbusha pale makanyagio, wali wa jero nilikuwa nashiba balaa, au mabanzi ya mia matatu unashinda siku nzima bila njaa.Makanyagio Mkwawa
duu C2C pana ukimwi kumbe maana machali wanapapenda sanaC2C lazima uondoke na Ukimwi!
Pale unakunywa halafu sepa!
duu vantela bado ipo nakumbuka tulipokuwa wadogo tulikuwa tumachungulia epl dirishaniKwa zakia![]()
vantela na mawaga
Luxury pub, V.I.P, kuna +255 pub au miami bar na holiday in hapo kuna starehe zote za dunia his mkuu karibu iringani
haihitaji kuuliza kwani lile kanisa linaonekana ukiwa popote iringa townushazijua na sehemu za ibada pia
kuna ukweli ndani yake duu... sasa nikiwaza mikopo yenyewe ni tatizo mji uta songa kweli....uchumi wa Iringa unategemea sana uwepo wa wanavyuo....
hapo holiday bado umalaya unafanyika?mkuu
Kama kawa pesa yako tuhapo holiday bado umalaya unafanyika?mkuu