Tata ya bana
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 304
- 369
- Thread starter
- #21
Unakuta mlinzi kavaa uniform imepauka na raba za mkewe.inavyosemekana wamiliki wa kampuni wana sign pesa nzuri sana kwa kila mlinzi kwa makampuni wanayokubaliana kulinda,si chini ya 800k maana yanapigwa mahesabu ya vitu mbalimbali,ila sasa inaposhuka mpaka kufikia 140k hapo ndio havieleweki.
