Security guards na umuhimu wao

Security guards na umuhimu wao

inavyosemekana wamiliki wa kampuni wana sign pesa nzuri sana kwa kila mlinzi kwa makampuni wanayokubaliana kulinda,si chini ya 800k maana yanapigwa mahesabu ya vitu mbalimbali,ila sasa inaposhuka mpaka kufikia 140k hapo ndio havieleweki.
Unakuta mlinzi kavaa uniform imepauka na raba za mkewe.
 
inavyosemekana wamiliki wa kampuni wana sign pesa nzuri sana kwa kila mlinzi kwa makampuni wanayokubaliana kulinda,si chini ya 800k maana yanapigwa mahesabu ya vitu mbalimbali,ila sasa inaposhuka mpaka kufikia 140k hapo ndio havieleweki.
Lakin kumbuka mwenye kampuni ya ulinzi anafanya biashara kama biashara zingine
 
Lakin kumbuka mwenye kampuni ya ulinzi anafanya biashara kama biashara zingine
Adui mkubwa wa USTAWI WA VIJANA hapa nchini kwa sasa ni JIWE.

- Vijana wengi sana wenye Elimu za Degree, Diploma ( Hasa za Ualimu wa Arts, Sociology, Watu wa PSPA, Business Administration, ITs n.k ) wanasota huku.

- Ukiwa kijana ndani ya taifa ni JEHANAM tosha kabisa
 
Basi wajitahidi kuwajali,kuna wengine wanakaa bila malipo kwa miezi mitatu,just imagine anaishi vp

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
Hiyo ni mbaya sana ....na nahisi na pale mwenye kampuni ya ulinzi anapoamua kufanya hii biashara pasipo kufikiria nje ya box ..namaanisha mfano kama hana chanzo kingine cha mapato akitegemea wale wateja wake wamlipe kwanza ndo alipe walinzi hapa lazima walinzi wapate tabu....

In short nahisi hii ni biashara ngumu usipojipanga na nzuri ukiwa na mipango ya kudumu
 
inavyosemekana wamiliki wa kampuni wana sign pesa nzuri sana kwa kila mlinzi kwa makampuni wanayokubaliana kulinda,si chini ya 800k maana yanapigwa mahesabu ya vitu mbalimbali,ila sasa inaposhuka mpaka kufikia 140k hapo ndio havieleweki.
Usiandike kitu usichokijuwa, kampuni kubwa ndio zina mikataba angalau, lakini kampuni zetu hizi za kuganga njaa lindo la bunduki kwa mlinzi mmoja haizidi laki tatu kwa mwezi ndio pesa inalipwa kampuni kwa mlinzi mmoja mwenye bunduki, kwahiyo lindo lisilohitaji mlinzi kuwa na bunduki ni pungufu ya pesa hiyo.

Ukumbuke kuna gharama za uendeshaji kampuni pia.

Usije ukadhani nina kampuni ya ulinzi bali kuna jamaa yangu ana kampuni yake kwahiyo nafahamu vizuri.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Hiyo ni mbaya sana ....na nahisi na pale mwenye kampuni ya ulinzi anapoamua kufanya hii biashara pasipo kufikiria nje ya box ..namaanisha mfano kama hana chanzo kingine cha mapato akitegemea wale wateja wake wamlipe kwanza ndo alipe walinzi hapa lazima walinzi wapate tabu....

In short nahisi hii ni biashara ngumu usipojipanga na nzuri ukiwa na mipango ya kudumu
Simshauri mtu kwa sasa kuwaza kuwekeza kwenye biashara hii, maana kwa aina ya utawala uliopo malindo yote ya taasisi za serikali na malindo mengine manono yenye maslahi mazuri wanapewa Suma security, mwenzangu na mimi na kikampuni chako cha kupambana na hali yako utaambulia malindo ya kulinda club na pasua kichwa kwa wadosi.

Kwa kweli Rais ametupata.
 
Usiandike kitu usichokijuwa, kampuni kubwa ndio zina mikataba angalau, lakini kampuni zetu hizi za kuganga njaa lindo la bunduki kwa mlinzi mmoja haizidi laki tatu kwa mwezi ndio pesa inalipwa kampuni kwa mlinzi mmoja mwenye bunduki, kwahiyo lindo lisilohitaji mlinzi kuwa na bunduki ni pungufu ya pesa hiyo.

Ukumbuke kuna gharama za uendeshaji kampuni pia.

Usije ukadhani nina kampuni ya ulinzi bali kuna jamaa yangu ana kampuni yake kwahiyo nafahamu vizuri.
Kweli kabisa nahisi na mm hivo makampuni makubwa ndo yanapata mikataba nahisi hivo lakini haya mengine sijui mstaafu wa jeshi kaanzisha kikundi chake na kusajiliwa mwendo wa bunduk moja kuizungusha malindo kadhaa lazima tabu sana ..

Uendeshaji wengi nahisi tunafikiria kwa walinzi tu ila ndani ya ofisi watu kadhaa eg Secretary..hr nk unganisha na gharama za patrol kama wanafanya ...hapo lindo linakulipa lak 350000 hapa ndo kubwa kabisa nahisi
 
Yote tisa kumi kuna kampuni inaitwa G4s hawa ukiwaona kwa juu ni brand kubwa, hakuna kampuni yenye utawala mubovu kama kampuni hii ,sku moja niliskia kwa wafanya kaz wao kuwa ukitaka kuhama lindo moja kwenda sehm nyingine kwamba unatoa rushwa ,ukitaka kukiendeleza kielim unatoa rushwa na ukitpata zarula unataka leave unatoa rushwa ,kama kwel iko hivo PCB wekeni mkono mtawanasa hata wiki haipiti hata kazi kuna walimu pale wanao wafundisha walinz wanakutimua ili uwape rushwa urudi ,Kuna mtu anaitwa jerry na wenzake waangaliwe kwel kwel, siyo mim Uzalendo kwanza
 
Kuna walinzi wengine hovyo tu hasa hawa SUMA JKT wanataka wajione na wawo wanajeshi.
Wanajifanya wakaksi hata kuwapa tip unashindwa uanzaje, ila kuna wale wa UDOM wako poa sana, yani wanafurahi sana kusimamisha magari na ukishasimama furaha anayokua nayo hata akukagui...
 
Yote tisa kumi kuna kampuni inaitwa G4s hawa ukiwaona kwa juu ni brand kubwa, hakuna kampuni yenye utawala mubovu kama kampuni hii ,sku moja niliskia kwa wafanya kaz wao kuwa ukitaka kuhama lindo moja kwenda sehm nyingine kwamba unatoa rushwa ,ukitaka kukiendeleza kielim unatoa rushwa na ukitpata zarula unataka leave unatoa rushwa ,kama kwel iko hivo PCB wekeni mkono mtawanasa hata wiki haipiti hata kazi kuna walimu pale wanao wafundisha walinz wanakutimua ili uwape rushwa urudi ,Kuna mtu anaitwa jerry na wenzake waangaliwe kwel kwel, siyo mim Uzalendo kwanza
Unaijuwa rushwa iliyopo Polisi na Takukuru?
 
Je ushawaza unapita getini kuingia kazini kwako unampita mlinzi kama mti,unamuona kama hajasoma vile,ila kampuni ikifa ni yeye pekee atabaki pale.vilevile maslahi yao ni ya ovyo sana.hebu tudiscuss umuhimu wao
mkuu inaelekea yamekupata cha ajabu uloyemdharau bado anaendelea kudunda getini
 
Kadri unavokuwa na elimu ndogo basi ndivo na kazi yako itakuwa ya kudharaulika(za kuajiliwa).
Walinzi n watu muhimu tatzo nao wanakuwaga wakorofi na hawana ubinadamu kabisa mda mwingine.
Unamzuia mtu getini chuoni na anawahi mtihani kisa hajabeba id.
mkuu kukuzuia kuingia ni sehemu ya kutimiza majukumu yake, endapo jambo baya likajitokeza na ikagundulika alilegeza masharti atapoteza kazi. tatizo letu huwa tunapenda mkato
 
Hao walinzi wa mageti wako fresh sana mi nawachukia wale wakusanya ela za kubrash viatu
 
Wanajifanya wakaksi hata kuwapa tip unashindwa uanzaje, ila kuna wale wa UDOM wako poa sana, yani wanafurahi sana kusimamisha magari na ukishasimama furaha anayokua nayo hata akukagui...
kwa hyo ye anafurah kuona umesimama
 
Wanajifanya wakaksi hata kuwapa tip unashindwa uanzaje, ila kuna wale wa UDOM wako poa sana, yani wanafurahi sana kusimamisha magari na ukishasimama furaha anayokua nayo hata akukagui...
Wako poa? ifike mahali haya makampuni ya ulinzi yaweke msisitizo ulioshiba kwenye intelijensia ya hao walinzi, wengi wao hawajui uzito wa jukumu lao sababu ulinzi ni ulinzi tu haijalishi ni wa palace au nyumba au ofisi ya Bwana fulani
 
Back
Top Bottom