Mars Rover
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 338
- 140
Nadhani kila mtumiaji wa simu huwa na hofu kuibiwa au kupoteza simu yake. Here is the solution; Kwa wale ambao wameshatumia Avast mobile security watakubaliana na mimi. Avast mobile security for Android phones n Tablets ni kinga madhubuti dhidi ya wizi wa simu via Anti theft program ambayo inakuwezesha ww kupata contacts za mwizi wa simu yako kipitia friend number utakayoset.
Pia kupitia trusted friend number unaweza ku-access, wipe au lock simu yako na kuifanya ipige siren (king'ora) kuashiria simu imeibiwa also locating your phone using GPS is possible!
All this remote commands zinafanywa kupitia SMS commands hizo hapa <http://www.avast.com/free-mobile-security#tab5>
Pia unaweza remotely control simu yako on your Account portal kama utafanya registration.
Pata avast yako on Google play <https://market.android.com/details?id=com.avast.android.mobilesecurity>
Avast inapatikana bure na ndio most advanced mobile security software!
Pia kupitia trusted friend number unaweza ku-access, wipe au lock simu yako na kuifanya ipige siren (king'ora) kuashiria simu imeibiwa also locating your phone using GPS is possible!
All this remote commands zinafanywa kupitia SMS commands hizo hapa <http://www.avast.com/free-mobile-security#tab5>
Pia unaweza remotely control simu yako on your Account portal kama utafanya registration.
Pata avast yako on Google play <https://market.android.com/details?id=com.avast.android.mobilesecurity>
Avast inapatikana bure na ndio most advanced mobile security software!