Secure your Android phone and Tablet PC

Mars Rover

JF-Expert Member
Apr 27, 2012
338
140
Nadhani kila mtumiaji wa simu huwa na hofu kuibiwa au kupoteza simu yake. Here is the solution; Kwa wale ambao wameshatumia Avast mobile security watakubaliana na mimi. Avast mobile security for Android phones n Tablets ni kinga madhubuti dhidi ya wizi wa simu via Anti theft program ambayo inakuwezesha ww kupata contacts za mwizi wa simu yako kipitia friend number utakayoset.
Pia kupitia trusted friend number unaweza ku-access, wipe au lock simu yako na kuifanya ipige siren (king'ora) kuashiria simu imeibiwa also locating your phone using GPS is possible!
All this remote commands zinafanywa kupitia SMS commands hizo hapa <http://www.avast.com/free-mobile-security#tab5>
Pia unaweza remotely control simu yako on your Account portal kama utafanya registration.

Pata avast yako on Google play <https://market.android.com/details?id=com.avast.android.mobilesecurity>
Avast inapatikana bure na ndio most advanced mobile security software!
 
Thanks mkuu. pia wadau wa android wanaeza tumia ANDROIDLOST app kwa ajili ya kuzuia wizi na kuilocate.
 
kuna msanii mmoja yeye leo utamkuta kwenye dawa za asili kesho utamkuta jukwaani anahubiri inji na kesho kutwa utamkuta amefunggua kampuni anajitangaza eti anahusika na kuweka securities za dizaini hii kwenye simu za watu na computer.....ukiangalia maelezo yake ni kwamba kuna program ambayo wao wanayo ataiweka kwenye simu yako na utaweza kuicommand simu itoe kelele au kujiblock....hapa mjini kila mtu anajinsi yake ya kuingiza kipato
 
kuna msanii mmoja yeye leo utamkuta kwenye dawa za asili kesho utamkuta jukwaani anahubiri inji na kesho kutwa utamkuta amefunggua kampuni anajitangaza eti anahusika na kuweka securities za dizaini hii kwenye simu za watu na computer.....ukiangalia maelezo yake ni kwamba kuna program ambayo wao wanayo ataiweka kwenye simu yako na utaweza kuicommand simu itoe kelele au kujiblock....hapa mjini kila mtu anajinsi yake ya kuingiza kipato

true dat
 
Good Guy,Firewall & Mars Rover mtu akiifomat hizo cm baada ya kuiiba hizo software huwa zinabaki au ni kwa wale wapiga ngwaku tu?? Tujuzane
 
Nadhani kila mtumiaji wa simu huwa na hofu kuibiwa au kupoteza simu yake. Here is the solution; Kwa wale ambao wameshatumia Avast mobile security watakubaliana na mimi. Avast mobile security for Android phones n Tablets ni kinga madhubuti dhidi ya wizi wa simu via Anti theft program ambayo inakuwezesha ww kupata contacts za mwizi wa simu yako kipitia friend number utakayoset.
Pia kupitia trusted friend number unaweza ku-access, wipe au lock simu yako na kuifanya ipige siren (king'ora) kuashiria simu imeibiwa also locating your phone using GPS is possible!
All this remote commands zinafanywa kupitia SMS commands hizo hapa <http://www.avast.com/free-mobile-security#tab5>
Pia unaweza remotely control simu yako on your Account portal kama utafanya registration.

Pata avast yako on Google play <https://market.android.com/details?id=com.avast.android.mobilesecurity>
Avast inapatikana bure na ndio most advanced mobile security software!

Mfano mimi niliwahi kupotelewa na cm yangu Android A-300 nikiwa nimeisign pamoja na google mail....nilipojaribu kuinstalla hiyo avast (lakini kwenye pc yangu) kwa kutumia ile gmail account niliyo sign up kwa kupitia ile Android phone...inanitajia ile device A-300 kwamba ndo shotly ita"install"....wakati mimi nimejaribu kwenye pc...kuna mawasiliano yeyote??
 
Mfano mimi niliwahi kupotelewa na cm yangu Android A-300 nikiwa nimeisign pamoja na google mail....nilipojaribu kuinstalla hiyo avast (lakini kwenye pc yangu) kwa kutumia ile gmail account niliyo sign up kwa kupitia ile Android phone...inanitajia ile device A-300 kwamba ndo shotly ita"install"....wakati mimi nimejaribu kwenye pc...kuna mawasiliano yeyote??

Kuna app zingine must ziwe downloaded na Android yenyewe. Ikisema hivo weka 2 cash ya kutosha au kifurushi on ur android baada 2 ya mda itaanza kudownload hiyo app
 
Good Guy,Firewall & Mars Rover mtu akiifomat hizo cm baada ya kuiiba hizo software huwa zinabaki au ni kwa wale wapiga ngwaku tu?? Tujuzane

Memory ikiwa wiped hamna kinachobak, so cm ikiibiwa ni ku2ma commands, za kucapture pics,retreave 4ne # na zingine ASAP. But its unlikely alieiba ataenda kuiflash ryt away na cm haina prob(unless well he/she is an IT Geek)
 
Kuna app zingine must ziwe downloaded na Android yenyewe. Ikisema hivo weka 2 cash ya kutosha au kifurushi on ur android baada 2 ya mda itaanza kudownload hiyo app

Its looks like you are not a Gud Guy....but you are the best guy on the matter....sasa hebu nielewe tajiri yangu....cm siko nayo. Ila wakati naibiwa (pia wakati nimeinunua nili"sign up" gmail account kwenye ile cm)
Na ikiwa imeibiwa...ndo nilienda kujaribu ku"install" hiyo avast FOR MOBILE user...lakini (remember this) kwenye PC not in my Android.
Katika hatua za kuinstall ndo nikaambia ni"log in" (gmail) nikatumia ile account ya gmail niliyokuwa naitumia kwenye ile Cm.
So kilichofanya nishtuke ni kwamba, baada ya ku"sign-in" ikaeleza device kuwa ni A-300 ambayo ndo ile android yangu iliyoibiwa, wakati mimi niko kwenye pc.
Sasa kuweka hela naweka wapi Gud Guy?? wakati cm anayo mtumiaji mwingine ambaye ni mwizi?? na istoshe ckuwa nimeinstall security software yeypte.Be a guy guy...nifahamishe mkuu
 
Its looks like you are not a Gud Guy....but you are the best guy on the matter....sasa hebu nielewe tajiri yangu....cm siko nayo. Ila wakati naibiwa (pia wakati nimeinunua nili"sign up" gmail account kwenye ile cm)
Na ikiwa imeibiwa...ndo nilienda kujaribu ku"install" hiyo avast FOR MOBILE user...lakini (remember this) kwenye PC not in my Android.
Katika hatua za kuinstall ndo nikaambia ni"log in" (gmail) nikatumia ile account ya gmail niliyokuwa naitumia kwenye ile Cm.
So kilichofanya nishtuke ni kwamba, baada ya ku"sign-in" ikaeleza device kuwa ni A-300 ambayo ndo ile android yangu iliyoibiwa, wakati mimi niko kwenye pc.
Sasa kuweka hela naweka wapi Gud Guy?? wakati cm anayo mtumiaji mwingine ambaye ni mwizi?? na istoshe ckuwa nimeinstall security software yeypte.Be a guy guy...nifahamishe mkuu

ohh pole, nlikua cjaelewa situation. In that case assuming mpaka leo Gmail acc yako iko signed in hiyo software itaanza kudownload as soon as there is enough cash kwenye sim(wherever it is). Nilidhani uko na cm ndo maana nkakwambia weka kifurushi au pesa ya kutosha. So after some time jaribu kutembelea website ya hiyo app u sign in kuona kama ipo active(although i doubt t maana nadhani mpaka u confirm t in your 4ne,) Kama cjakupata feel free 2 correct. Cja2mia hii software ila anyways maana nna Android acha nijaribu as if imeibiwa nidownload hii app via my acc then nichukue kifurushi as if i hav no idea wats goin on ntakupa feed back wat happens nd wat 2 do ili uipate cm yako mkuu!
 
ohh pole, nlikua cjaelewa situation. In that case assuming mpaka leo Gmail acc yako iko signed in hiyo software itaanza kudownload as soon as there is enough cash kwenye sim(wherever it is). Nilidhani uko na cm ndo maana nkakwambia weka kifurushi au pesa ya kutosha. So after some time jaribu kutembelea website ya hiyo app u sign in kuona kama ipo active(although i doubt t maana nadhani mpaka u confirm t in your 4ne,) Kama cjakupata feel free 2 correct. Cja2mia hii software ila anyways maana nna Android acha nijaribu as if imeibiwa nidownload hii app via my acc then nichukue kifurushi as if i hav no idea wats goin on ntakupa feed back wat happens nd wat 2 do ili uipate cm yako mkuu!

Thanks mzazi am waitin
 
Back
Top Bottom