Aisee mi nafikiri second selection zimewekwa pending mpaka siku wakinywa chai ya maziwa ndo watatoa hayo majina.
pale mpaka atumbuliwe mmoja wengne watachangamkaSio kitoto na wana hasirawatu wengi wako benchi
Una uhakika mkuu?Baadhi ya majina yanayotolewa na vyuo yamo ya ware hata wariokosa Mara ya kwanza
Mmmmmh hiz fix sasa unatuletea, ww umemuona nan au ndio zile stor za mitaaBaadhi ya majina yanayotolewa na vyuo yamo ya ware hata wariokosa Mara ya kwanza
kinacholalamikiwa n mda sio kua wote tunaenda.mbona watu wana haraka sana...just kutulia tu kama una principal pass mbili lazma uende chuo..
wamefanyeje?Cheki wa ruaha
acha utan Mkuu inamana jina lako umelionaNdo nimeona second
Ndio Mkuu walinitema sasa Cjajua ww umechaguliwa awam ya ngap?Ra ukoo nani sema nawewe ulikosa Mara ya kwanza
Aaaaaaaaaaah! bac nilijua second batch ndio nikataka kushangaaYa kwanza mkuu