SECOND SELECTION MZUMBE TUKUTANE HAPA

SECOND SELECTION MZUMBE TUKUTANE HAPA

mzizi1

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2017
Posts
265
Reaction score
708
Namshukuru mungu kwa kusikia kilio changu, mimi nimechaguliwa mzumbe kusomea information technology system,
So naomben first batch na second batch wa mzumbe tupeane info juu ya nn kinahtajika na uhakika wa hosteli pia kwa ndugu wenzetu wa mwaka wa pili na watatu msisite kutupa mwanga hapa
 
Namshukuru mungu kwa kusikia kilio changu, mimi nimechaguliwa mzumbe kusomea information technology system,
So naomben first batch na second batch wa mzumbe tupeane info juu ya nn kinahtajika na uhakika wa hosteli pia kwa ndugu wenzetu wa mwaka wa pili na watatu msisite kutupa mwanga hapa
Mkuu mie nmechaguliwa mzumbe round ya pili LAWS but sikuomba round ya pili coz nilikuwa nmechaguliwa round ya kwanza sasa cjui nifanyeje, kama unaujuz na hili nijuze
 
Namshukuru mungu kwa kusikia kilio changu, mimi nimechaguliwa mzumbe kusomea information technology system,
So naomben first batch na second batch wa mzumbe tupeane info juu ya nn kinahtajika na uhakika wa hosteli pia kwa ndugu wenzetu wa mwaka wa pili na watatu msisite kutupa mwanga hapa


KAKA HIVI NIKITAKA KUJUA GHARAMA ZA CHUO NAPATA WAPI HIZO BARUA
 
Namshukuru mungu kwa kusikia kilio changu, mimi nimechaguliwa mzumbe kusomea information technology system,
So naomben first batch na second batch wa mzumbe tupeane info juu ya nn kinahtajika na uhakika wa hosteli pia kwa ndugu wenzetu wa mwaka wa pili na watatu msisite kutupa mwanga hapa
 
Namshukuru mungu kwa kusikia kilio changu, mimi nimechaguliwa mzumbe kusomea information technology system,
So naomben first batch na second batch wa mzumbe tupeane info juu ya nn kinahtajika na uhakika wa hosteli pia kwa ndugu wenzetu wa mwaka wa pili na watatu msisite kutupa mwanga hapa


Karibuni sana Mzumbeni...umechaguliwa main campus ya morogoro ama
 
KAKA HIVI NIKITAKA KUJUA GHARAMA ZA CHUO NAPATA WAPI HIZO BARUA


SIMPLE tu Ingia kwenye ukurasa wako wa Google then andika Mzumb SARIS login afu utaandika namba yako ya form four S000/0000/0000 kama user name na password ni surname yako kwa herufi ndogo...huko utakuta kila kitu chako
 
Ivi tulio chaguliwa first round tunatakiwa ku comfirm maana apdate ya mzumbe imeweka comfm kote
 
P0112/0444/2014 MKUU SI HV AU NAKOSEA WAP
 
wale wa mzumbe first year nitumie sms ktk watsup no 0712620720 nikuunge na group ya watsup mzumbe first year
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom