Jamani nisaidie sikuwa hewan sku nying, kulingana na mada tajwa hpo juu... Hzo second selection, Tetec znaweza tok kuanzia kesho sasa Wanachukua hadi walio pata PASS?? au wanachukua kuanzia ngapi hadi ngapi? Na yatatumwa kwenye mtandao wa NACTE au NECTA.. Please nisaidieni wapendwa.