prof yunus ni bora kuliko hao wanao ongozwa na mamko ya wazir wa vyuo vikuu tanzaniakumbe waliotumbuliwa na walioekwa sasa iv hakuna wenye afadhal.
Sasa ss tunaosubir second batch inakuaje au ndio tunasubir meli airport
prof yunus ni bora kuliko hao wanao ongozwa na mamko ya wazir wa vyuo vikuu tanzaniakumbe waliotumbuliwa na walioekwa sasa iv hakuna wenye afadhal.
Sasa ss tunaosubir second batch inakuaje au ndio tunasubir meli airport
Tanzania mm nmeshaichoka aisee kudadek.prof yunus ni bora kuliko hao wanao ongozwa na mamko ya wazir wa vyuo vikuu tanzania
na bado haya toisha kwani wengine wapo tofaut na baba jeska ahaaaaaaTanzania mm nmeshaichoka aisee kudadek.
Wanatoa matamko ambayo hayatekelezwi .
Full mabumash
Uvumilivu huu umezid mpaka kero sasaahaaa kama ni kiki wamepata TCU VS NACTE ila madogo si mmefundishwa uvumilivu uko kambi 821,811kj......kuwen wapole kama kaka zenu wa diploma ..... viva education
ko tukachukue IT wa rwanda ama... maana wa bongo ni wa matamko... kama la nacteUvumilivu huu umezid mpaka kero sasa
Weee acha tu huu mfumo wameuvamia,ko tukachukue IT wa rwanda ama... maana wa bongo ni wa matamko... kama la nacte
na si kuchekwa tu tunasubili pale utakapo DISCO sijuh utawaambiaje mana na kuonea huruma uku principal ya kuingia chuo ikiwa ni C na si D ULIYOPATAikifika mpaka tareh 20 bado upo mtaan unajiandaa kuchekwa tu
waambie wavute subira na uwa eleze si kila mmoja ata fanikiwa kwa karamuWeee acha tu huu mfumo wameuvamia,
Alaf ss ndio wa majaribio kudadek.
Mpaka Jana familia imenikaa koon wanajua nmezingua cha six
NEW UNIVERSITIES & COLLEGES THAT HAVE RELEASED THE NAMES OF APPLICANTS IN 2nd ROUND FOR 2016/2017 | Xpresstz.ComKwa wale mnao subir second selection TCU jaribuni kufatilia majina yenu kwenye vyuo vinavyoendelea kutoa majina mfano chuo cha saut Tabora hakikua kimetoa first selection lakin kimetoa first batch yakiwemo pia majina ya watu ambao waliomba chuo hicho katka second selection.
Jifunze kutokulalamikatoeniiiiiii,,vyuo vilivyobakiza kutoa majina vifanye hima tunateseka mtaani uku.
Kulalamika ndo staili yangu mkuu mwenyewe uta blow yanJifunze kutokulalamika
Nan kakwambia nmepata D kudadek kama sio umbeana si kuchekwa tu tunasubili pale utakapo DISCO sijuh utawaambiaje mana na kuonea huruma uku principal ya kuingia chuo ikiwa ni C na si D ULIYOPATA
Bora chuon mtaani maneno mengi Mara oooh mbio za sakafuniunadhan chuo ndo raha...kribu uisome no.
duuuuh kumbe tuko wengi mkuu mzee haelewi kabisa anadhani nilidisco dip wakati results nilimuonyeshaWeee acha tu huu mfumo wameuvamia,
Alaf ss ndio wa majaribio kudadek.
Mpaka Jana familia imenikaa koon wanajua nmezingua cha six