wamisako
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 917
- 872
Kwa wale mnao subir second selection TCU jaribuni kufatilia majina yenu kwenye vyuo vinavyoendelea kutoa majina mfano chuo cha saut Tabora hakikua kimetoa first selection lakin kimetoa first batch yakiwemo pia majina ya watu ambao waliomba chuo hicho katka second selection.