Sebo wa E-Fm mbona hasikiki kwenye joto la asubuhi? Kuna tetesi kasepa ni kweli?

manSniper

JF-Expert Member
Sep 9, 2015
814
680
Kuna tetesi kuwa sebo hakufurahishwa na ujio wa gerad hando na pj pale E. fm na kuona atafunikwa kwenye kipindi cha joto la asubuh akaamua kusepa hizi tetes ni za kweli? au ni stori za kitaa?
 
ahaaa yule mganda iyo kitengo anakiiza jamaa ana fitna apa clouds wataomba poo huu mchezooo hauhitaji hasiraaaaaa
 
sidhani kama kuna ukweli, ni uzandiki tu. Wiki mbili zilizopita nilimwona Kinondoni kwenye moja ya shughuli za EFM. Na alitambulishwa na Chogo kama GM wa Efm.
 
Huwa anatangaza wakija spesho guests mjengon.Mfano alipokuja Nwanko Kanu.Watangazaj watz yai halitemi so huwa anahoji yeye kwa English
 
Huyu jamaa anamishe mishe nyingi sana! Hata alipo kuwa magic fm alikuwa anakaa karibia wiki bila kusikika! Atakuwa yupo mjini ana set michongo ya hela! Haya maisha ya Dr Mangufuli usipo piga mishe nje na ndani dah mwisho wa siku haya maisha yatakupiga dole ukiwa umesimama!
 
Sebo kwa sasa yupo Management, halafu jamaa alifiti sana kwenye Friday Night Live kipindi kile EAT
 
Back
Top Bottom