Kang
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 5,493
- 2,247
Nam! baada ya kuwa na Zantel kwa kama mwezi hivi nimeamua kuhamia Zain.
Bei ya zantel ilikua inaniumiza sana at 120Tsh per MB, hii ni pamaoja na kujibana sana kiasi cha kuzima picha,flash,updates etc lakini wapi!!
Sasa niko "Unlimited" package ya Zain ambayo actually ni 2GB kwa mwezi @Laki per month, which comes to 50Tsh per Mb.
Kitu cha kwanza unachonotice ni speed ya Zain ni ndogo sana! On paper wanatakiwa wawe bora, wanadai wana 3G, ambayo Zantel hawana, lakini mimi napata speed za less than 10Kbps (much less) wakati simu yangu inasupport hadi 236.8 kbps.
Wafanye haraka wafikishe hiyo fiber maana inatia uvivu hata kufanya kitu kwenye net!!
Bei ya zantel ilikua inaniumiza sana at 120Tsh per MB, hii ni pamaoja na kujibana sana kiasi cha kuzima picha,flash,updates etc lakini wapi!!
Sasa niko "Unlimited" package ya Zain ambayo actually ni 2GB kwa mwezi @Laki per month, which comes to 50Tsh per Mb.
Kitu cha kwanza unachonotice ni speed ya Zain ni ndogo sana! On paper wanatakiwa wawe bora, wanadai wana 3G, ambayo Zantel hawana, lakini mimi napata speed za less than 10Kbps (much less) wakati simu yangu inasupport hadi 236.8 kbps.
Wafanye haraka wafikishe hiyo fiber maana inatia uvivu hata kufanya kitu kwenye net!!