SEACOM downtime?

Invisible

Robot
Feb 11, 2006
9,075
7,878
Kuna taarifa kuwa internet Bongo imeenda down kwa muda wa zaidi ya 1hr mpaka sasa, kuna ambao mnatumia TTCL au Zain au Zantel au Voda au hata Raha, CATS etc mnakumbana na tatizo hilo?

Just wanna know what's up
 
Mimi siwezi kupata outook! Huduma yangu ya kimtandao naipata kutoka kwa Africa online.
 
Natumia Zantel iko Slow sana the max speed ambayo naweza achieve ni 4kbps
 
Ukiwa slow sana ina maana ISP wako amewachukua wateja wote wa Mkongoni na kuwaongeza kwenye traffic ambayo upo ili walau wote mpate, mimi tangu asubuhi saa nne na nusu siwezi kutuma wala kupokea email toka exchange server yangu - ni tatizo kubwa.

Inasemekana breakdown ipo UK, sasa mwenye habari saa ngapi itarudi atuhabarishe au laah turudishe VSAT system.
 
Dear Valued Clients,

We would like to inform you that we are currently experiencing a downtime with our International bandwidth provider.

The problem is reported to have occurred between London and Marseille.

This is currently been attended to by the field operators. The service is expected to last for some hours as per update received.

In the interim Africa Online has switched on its back up link on satellite to provide email access.

We would update you on any progress made.

Thank you for your custom.


Kind Regards
*************************

Stanley Ayittah
Africa Online (T) Ltd.
Tel: +255 (22) 211 6090
Fax:+255 (22) 211 6089
Email: stanley.ayittah@africaonline.co.tz



A member of the Telkom South Africa Group
 
i am using Zain, and the connection is 3.6Mbps now. slow, lakini pia inakatika kila baada ya dakika tatu nne!
 
Natumia Simbanet mwanzoni walikuwa slow sana nikawapigia simu wakaniambia Seacom wana matatizo kwenye cable yao.. kwa sasa imerudi Speed 64kb/ps
 
Imekatika nadhani kuanzia mida ya saa nne/tano , ikarudi jioni hii lakini kama bado haijatulia(stable) !
 
mie ndo nimekuwa offline the whole day sikuweza hata kuaccess JF mchana wote wa leo
 
ilikata saa 11:24 na ilirudi 14:17

Problem is The fiber was burned between the Marseille and Aubagne sites (vandalism)

another NEWS

EMERGENCY FIBER RELOCATION IN PARIS
Start: 2010-06-06 at 22:00:00 PM
End : 2010-06-07 at 04:00:00 AM
 
Back
Top Bottom