SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

SCOAN TANZANIA (Prophet TB Joshua)

SCOAN

Member
Joined
Mar 22, 2014
Posts
40
Reaction score
14
Bwana Yesu Asifiwe!


Nina wataarifu kuwa, kwa wale wamtumainiao Bwana...wale wenye shida mbali mbali na wale ambao wamekua wakimfuatilia Prophet TB Joshua via #Emmanuel Tv; kwa namna moja au nyingine wamekua na hamu ya kwenda SCOAN au kupata Anointing water, Sticker, Vitabu pamoja na DVD ; ofisi zipo Dar es Salaam, Posta #Jengo la Mkapa house, Ground floor- jirani na duka la nguo la Mariedo.


1. Utapata maelekezo jinsi ya kusafiri
2. Kwa wanaohitaji vitu tajwa hapo juu : vinapatikana hapo but kwa dolar 50. (50USD)


Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana na Dada Martha ambae ni agent wa SCOAN kwa hapa Tanzania kupitia namba +255755875201.


#Be aware of Fraudsters!!!!...TANZANIA INA AGENT MMOJA TU NA YUPO JENGO LA MKAPA HOUSE. OFISI ZIPO WAZI KUANZIA SAA MOJA MPAKA SAA NNE ASUBUHI KULINGANA NA WATEJA.
 
Bwana Yesu Asifiwe!


Nina wataarifu kuwa, kwa wale wamtumainiao Bwana...wale wenye shida mbali mbali na wale ambao wamekua wakimfuatilia Prophet TB Joshua via #Emmanuel Tv; kwa namna moja au nyingine wamekua na hamu ya kwenda SCOAN au kupata Anointing water, Sticker, Vitabu pamoja na DVD ; ofisi zipo Dar es Salaam, Posta #Jengo la Mkapa house, Ground floor- jirani na duka la nguo la Mariedo.


1. Utapata maelekezo jinsi ya kusafiri
2. Kwa wanaohitaji vitu tajwa hapo juu : vinapatikana hapo but kwa dolar 50. (50USD)


Kwa mawasiliano zaidi, wasiliana na Dada Martha ambae ni agent wa SCOAN kwa hapa Tanzania kupitia namba +255755875201.


#Be aware of Fraudsters!!!!...TANZANIA INA AGENT MMOJA TU NA YUPO JENGO LA MKAPA HOUSE. OFISI ZIPO WAZI KUANZIA SAA MOJA MPAKA SAA NNE ASUBUHI KULINGANA NA WATEJA.

Biashara imechanganya!!!!!!
 
Dolari tena jamani? Tena hamsa!! Maana sio hamsini hio sasa, ile sticker ya Let Love Lead ndio dolari hamsini??? Mmmhh lazima mtulipe VAT sasa jamani Kha!! Bibi yangu kavuta ndio tumemzika Jumamosi pamoja na kununua hizo sticker aaaghh please
 
Elli: Imani yako itakuponya.
 
Last edited by a moderator:
maiye: Mwanzoni niliwataarifu kivipi??
 
Last edited by a moderator:
Elli: Seems upo kushoto na maandiko ya vitabu vya Mungu kaka.
 
Last edited by a moderator:
Huyo martha kaaya c mlisema mmebadilisha sbb za nyodo zake kwa wateja?
 
Hapana si kweli, ni miongoni mwa watu wanaompenda na kumtumika MUNGU japo katika udhaifu wa mwili na roho. My point is, kwanini tuuze kwa pesa nyingi hivyo? Imani yangu mimi haiwezi kujengwa kwa sticker na chupa za maji but kwa maandiko na pia mimi nimfuatiliaje mzuri sana wa Vipindi vyenu but this doesnt mena kwamba sasa nisiwe na msimamo binfasi NO No
Elli: Seems upo kushoto na maandiko ya vitabu vya Mungu kaka.
 
mtoto mpole: Ukienda hapo mapema , kama nilivyoandika hapo juu...utazipata bila wasiwasi.
 
Last edited by a moderator:
Elli: Mungu ananjia nyingi sana za kuonyesha nguvu zake. Kwahiyo sio kwa kusali au kusoma neno lake unaweza kuziona nguvu hizo. Nitakupa mifano kadhaa:-

1. Mtume Paulo enzi zake alikua akitumia aprons na vitambaa vya mikononi kuponya watu wenye shida mbali mbali. Ni watu wengi walienda kupata bidhaa zake. Lakini tambua...hawakupewa tu bure kwasababu vile vitu vilikua vikinunuliwa kwa gharama.Hapo utaona Mungu anajidhihirisha kupitia vitambaa vya mikono.


2. Mtume Peter, yeye alitumia kivuli chake kuponya watu wenye matatizo. I mean, akiwa kasimama au kukaa ukipita kwenye kivuli chake unakuwa safi kabisa.


3. Yesu pia aliweza kutumia Mate na Udongo kumponya mtu kipofu.

4. Tumeona hata baadhi ya watumishi kwenye Biblia wakitumia mafuta kuwapaka watu.

5. Leo hii, Prophet TB Joshua anatumia sticker na maji kuwaponya watu na kuwatatulia watu wenye shida mbalimbali kupita vyanzo hivyo.

Kumbuka ni gharama kutengeza na kuvisafirisha vitu hivyo.


#Kwanini usiende SCOAN kwa miguu kutoka hapo ulipo kama kila kitu cha Mungu kwako ni bure?..simple!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom