Also kuna quantum particles that behave differently when observed
What's the filmNiliangalia picha fulani inayo demonstrate hiki kitu, kwenye ulimwengu wa quantum physics nako kuna vitu amazing.
Bila hata kuomba kama tupo huu uzi utakimbiza mnoNauombea uzi uwe na maisha marefu sana huu, sayansi Ina mambo mengi sana yaliyopo na yajayo hivyo sitarajii Uzi ukose uchangiaji. Asante mwenye uzi
Dah hii funfact ngumu kumezaThe greatest awakening is to realize that you are not your mind you are the one who is aware of it. DR Mambo Jambo
The beauty of God's creationKwenye Pollinatio kati ya nyuki na maua sio tu kitendo cha ubadilishaji wa pollen na nectar bali kuna kitu cha ajabu maua yanafanya ili kufanya nyuki aende kwenye ua hilo na kuacha pollen ni kama vile chemical manipulation, baadhi ya maua yanatengeneza harufi ya sex horomes za nyuki hivyo nyuki huenda pale kwa sababu hiyo na mengine hutengeneza kitu kama dozi ya madawa ya kulevya kama opium,caffein, nicotine ili kufanya nyuki aliyetua hapo kuwa addicted na kurudi hapo mara nyingi hata kama hakuna chakula chochote kwenye ua hilo, ni kama vile maua yanashindana kupata pollen
Ndio space ilikuwepo na ndio maana big bang ilitokea. Big bang ilitokea baada ya particle ndogo zaidi kulipuka na kusambaa ikitoa gesi tofauti tofauti.Bado najiuliliza ukitoa space je bing bang ilianzia wapi?
hapo mwanzo kabla ya ulimwengu kuanza kulikuwa na space?
Huko kuexpand ni kwa sababu ya space iliopo ambayo ndio hio emptiness.Universe na maajabu yake.
Kuna kitu kinaitwa expanding universe yaani universe inaendelea kupanuka kila sekunde inayoendelea.
Lakini jambo la kushangaza zaidi ni hili
Universe si tu kwamba inapanuka… bali upanuzi wake unaendelea kuongeza kasi.
Wanasayansi wamegundua nini?
Galaxies zote zinaonekana zinaondoka kutoka kwa nyingine
Na si kwa mwendo wa kawaida, bali kwa kasi inayoongezeka kila wakati.
Swali linalochanganya akili
Inapanuka kuelekea wapi?
Jibu la kushangaza ni kwamba,
Universe hainapanuki , ndani ya kitu kingine,
Bali space yenyewe ndiyo inajitanua.
Hakuna nje ya universe inayojulikana.
Mfano rahisi wa kuelewa
Fikiria pointi (dots) kwenye balloon,
Ukivuta balloon, dots zote zinaanza kutengana.
Lakini hakuna dot inayokwenda “nje ya balloon🤔
Galaxies zinatengana kwa sababu space yenyewe inapanuka, si kwa sababu zinakimbia kuelekea sehemu fulani.
Jambo la kushangaza zaidi
Kuna kitu kinachoitwa dark energy ambacho, hakionekani hakijulikani ni nini ,
lakini ndicho kinachosababisha universe ipanuke kwa kasi zaidi kila siku.
NB
Universe si kitu kilichotulia… ni kitu kinachokua na kubadilika kila sekunde.
Na jambo la kuvunja akili zaidi🤔
Huenda hata universe haina mwisho unaoweza kufikika kwa macho au akili zetu kwa sasa.