izzo
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 2,812
- 6,461
Mwenyekiti anataka kuanzia GPA ya 3.8 so huyu akalime tu korosho lindi3.3 we kalime tu na usisubiri magufuli atangaze kazi
Mwenyekiti anataka kuanzia GPA ya 3.8 so huyu akalime tu korosho lindi3.3 we kalime tu na usisubiri magufuli atangaze kazi
Kuna 3.6 ya M.A!!!Ukiwa na GPA ya kuanzia 3.5 out 5.,, mtu huyo anapata scholarship ukiwa mzuri wa kuandika motivation letter, referee wazuri na kiproposal umemaliza.
Wewe nadhani huna kikwazo cha sifa ila hili la uchumi tuuu!!Kaka kupiga Phd...... Ukiwa na GPA ya 3.4 out of 5 (bachelor) na masters GPA ya 4.3 vipi?
Mkuu vipi PhD Scholarship in Project mgt au Finance zinaweza patikana? Especially, in English speaking countries?Hii mkuu unapata nitakuwekea hapa kesho au weekend data mhimu,,
Hahahahahaha hii ndo JF3.3 we kalime tu na usisubiri magufuli atangaze kazi
Usisahau mkuu week end ndiyo hii...Hii mkuu unapata nitakuwekea hapa kesho au weekend data mhimu,,
Mkuu nipe mchongo,Nina GPA 4.2 ya AccountsKama una GPA nzuri 80% out 100% ni pm lakini uwe tayari kwenda kusoma kokote kule patakapopatikana. GPA ni muhimu kama una GPA kimini zilizopo hazitakufaa,so usinipm tuongee hapahapa.
Hizo test ni shiida...IELTS means International English Language Testing System and it is a test of English language proficiency. na Test of English as a Foreign Language (TOEFL) is a standardized test to measure the English language ability of non-native speakers wishing to enroll in English-speaking universities. The test is accepted by many English-speaking academic and professional institutions. anaweza akachukua test moja kutoka british council hapo DSM.
Mkuu coz gan.?Daaaaaaaaaah Nina GPA YA 4.1 Bsc. Agriculture......je naweza kuwa scholarship mkuu MABUMBE