Scandinavia Bus: Jamani nimelimiss hili basi...

Scandinavia Bus: Jamani nimelimiss hili basi...

Watu8

Platinum Member
Joined
Feb 19, 2010
Posts
76,364
Reaction score
108,510
attachment.php


attachment.php


Nimelimiss sana hili bus, sijui lini hii kampuni itafufuka tena maana nakumbuka miaka ya nyuma iliwahi kupotea katika ulimwengu wa usafirishaji lakini baadae ikarudi tena...
 

Attachments

  • Scandinavia Express Buses 2.jpg
    Scandinavia Express Buses 2.jpg
    43.9 KB · Views: 1,954
  • Scandinavia Express Buses.jpg
    Scandinavia Express Buses.jpg
    47.1 KB · Views: 1,881
Nilikutana na Consultant mmoja kutoka Kenya,alihuzunika sana na Kifo cha haya Mabasi kwani yalikua Pendwa ,hata huko kwao.Wakati huo kwenda Mwanza,hadi upige hodi nchi jirani Kidogo.
 
ila sio siri Dar Express nao magari yao yamechoka mpaka aibu...

Mbaya zaidi hawashauriki. Watu wenye mapenzi mema wanajitahidi sana kutoa feedback, lakini jamaa wameziba masikio.
 
Imetoka kivingine, inaitwa Green Star inatumia magari aina ya Yutong, sio Scania Marcopolo tena.

hivyo unataka kusema Green Star ndio wale Waburushi wa Scandinavia sio?
 
Mbaya zaidi hawashauriki. Watu wenye mapenzi mema wanajitahidi sana kutoa feedback, lakini jamaa wameziba masikio.

nakumbuka safari zangu za A town kipindi hicho nikiwa mwanafunzi ndio tulikuwa wazinduzi wa Marcopolo za Dar Express...wakati huo ukiwa ndani ya basi mnapewa hadi chips kuku na huduma kibao...
 
unajua kunitouch kumoyo wewe........

Hahah hapo nadhani ni pale Jogoo House karibu na ilipokuwa stand ya mabasi ya Metro...sijui kama hiyo sehemu ipo maana mie nimeondoka A town zamani kidogo
 
Sumry nao mwisho wake kama wa hawa jamaa!
 
Sio muda mrefu daladala nao wataungana na hao baada ya Treni ya MCTS ( Mwakyembe City Train Services ) kushika kasi.

hahahah na kuingizwa mabasi kama haya

setra%20s315nf%20bus%20azur.jpg
 
Sumry nao mwisho wake kama wa hawa jamaa!

halafu SUMRY walianza kwa kasi...ila magari yao yapo slow sana, ukipanda SUMRY tegemea kuchelewa kufika labda uwe unaenda Morogoro au Chalinze
 
halafu SUMRY walianza kwa kasi...ila magari yao yapo slow sana, ukipanda SUMRY tegemea kuchelewa kufika labda uwe unaenda Morogoro au Chalinze
Mkuu Sumry kwa sasa haifai hata kuwa daladala nivimeo mnooo, kwa ujumla TZ hakuna aliyekuwa anaetoa na atoae huduma za uhakika kama scand!
 
Back
Top Bottom