Naomba nisaidiwe muongozo wa kununua gari sbt, maana walisha nitumia profomer invoice, na wananipigia sana simu, cha kushangaza mara nyingine ni simu za hapa nchi namba wanazozitumia ukipiga haziingii, mara zote zinakaa au zipo busy
They're trustworth.. Nimeshanunua gari tatu hadi sasa toka kwao na ninavyoongea nawe kuna gari iko njiani yaja, Ondoa shaka. Kwa uhakika zaidi wapigie kwa namba hii +81452909485
They're trustworth.. Nimeshanunua gari tatu hadi sasa toka kwao na ninavyoongea nawe kuna gari iko njiani yaja, Ondoa shaka. Kwa uhakika zaidi wapigie kwa namba hii +81452909485
Tupe wanakopatikana,hakuna kampuni hata moja ya kijapan yenye stock ya magari hapa Tz,Jamaa wako vizuri na wanaaminika.Wanajua namna ya kumjali mteja,rafiki yangu ameshanunua magari mawili kutoka kwao.
Kama unahisi wasiwasi wasiliana nao ili uweze kununua gari ambalo tayari lipo nchini kwani wana magari mengine yapo hapa Tanzania.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Tupe wanakopatikana,hakuna kampuni hata moja ya kijapan yenye stock ya magari hapa Tz,
Tupe wanakopatikana,hakuna kampuni hata moja ya kijapan yenye stock ya magari hapa Tz,
Thanks brother leo nimetuma pesa ngoja na mimi nijaribu, maana mara nyingi nilikuwa nawatumia autorec
Naomba nisaidiwe muongozo wa kununua gari sbt, maana walisha nitumia profomer invoice, na wananipigia sana simu, cha kushangaza mara nyingine ni simu za hapa nchi namba wanazozitumia ukipiga haziingii, mara zote zinakaa au zipo busy
Kaka mrejesho, tayari gari lako umeshalipata?Thanks brother leo nimetuma pesa ngoja na mimi nijaribu, maana mara nyingi nilikuwa nawatumia autorec
hilo swali zuri tumechoka kununua magari kwenye mtandao wao wanatakiwa wayalete hapa bongo kwa wingi alafu watuuzie sisi .Tupe wanakopatikana,hakuna kampuni hata moja ya kijapan yenye stock ya magari hapa Tz,