Sayansi ya kuishi vizuri na watu

Kujishusha Sana ni chanzo ch kudhaulika ktk jamii,, kujichanganya na wanajamii ni mbinu nzuri wastani ingawa wengn watatumia mwanya huo kukudhuru,,, kuwakopa Ela watu wenyew uwezo wa chini ni mbaya kupitiliza ukitaka kugombana na watu na ukimbiwe kopesha watu unaojuana nao tena weny Hali za chini utaonekana mbaya Sana na mnyanyasaji while not.
 
Hakuna mambo hayo

Huwezi ishi unawaza na kutetemeka kujichanganya na watu

Fvck it,kila mtu afe na maisha yake

Huwezi tetemeka maisha yako yote unakaa eti kuwaridhisha wanadamu wengine na infact kwanza hawana time na wewe,ni wewe ndie unajilazimisha kwao.

Cha msingi labda uniambie nisikae kabisa maeneo yaliyojaa masikini,nikae maeneo yenye affluence niachane na mawazo yako ya kimasikini namna hii

Eti wakope,wao wakukopeshe,etc,tabia gani ya kipumbavu hivi...nigga are u mzima kichwani kweli aisee?
Unaonekana wewe ni mbinafsi
 
Back
Top Bottom