Kwetunikwetu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 1,535
- 407
- Thread starter
- #21
Habari nilizopata hivi punde ni kuwa mwili wa marehemu unasafirishwa kwenda Tanga mjini ambapo utaagwa na ndugu, jamaa na marafiki, then jioni/usiku utasafirishwa kwenda Machame. Mazishi yatafanyika kesho.
Inshallah wana JF nitawawakilisha kwenye mazishi...!
Inshallah wana JF nitawawakilisha kwenye mazishi...!