Sawa CHADEMA imekufa, basi CCM fanyeni hivi

Sawa CHADEMA imekufa, basi CCM fanyeni hivi

mcTobby

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
6,631
Reaction score
18,670
Tokea magufuli amekufa tulisikia hiki kibwagizo kwamba CHADEMA ishakufa. Hadi sasa enzi za malkia kibwagizo ni kilekile kwamba Tanzania hakuna upinzani wa CHADEMA okay Nice nakubali.

Sasa kwa vile CCM ni chama kikongwe na kina ushawishi barani Afrika kifanye hivi, kingewaruhusu tu hao wafu(CHADEMA) waingie kwenye uchaguzi ili dunia iamini kweli hawa jamaa ni wafu na wachekwe kabisa maana hawana ushawishi wowote.

Ni ushauri wangu tu msipaniki na kupandisha sukari chumvi na pressure.
 
Weee wenyewe wanahangaika na hiyo iliyosemwa imekufa.
 
Tokea magufuli amekufa tulisikia hiki kibwagizo kwamba chadema ishakufa. Hadi sasa enzi za malkia kibwagizo ni kilekile kwamba Tanzania hakuna upinzani wa chadema okay Nice nakubali. Sasa kwa vile ccm ni chama kikongwe na kina ushawishi barani afrika kifanye hivi, kingewaruhusu tu hao wafu(chadema) waingie kwenye uchaguzi ili dunia iamini kweli hawa jamaa ni wafu na wachekwe kabisa maana hawana ushawishi wowote. Ni ushauri wangu tu msipaniki na kupandisha sukari chumvi na pressure
Wanakufa wao CDM inaimarika
 
Tokea magufuli amekufa tulisikia hiki kibwagizo kwamba chadema ishakufa. Hadi sasa enzi za malkia kibwagizo ni kilekile kwamba Tanzania hakuna upinzani wa chadema okay Nice nakubali. Sasa kwa vile ccm ni chama kikongwe na kina ushawishi barani afrika kifanye hivi, kingewaruhusu tu hao wafu(chadema) waingie kwenye uchaguzi ili dunia iamini kweli hawa jamaa ni wafu na wachekwe kabisa maana hawana ushawishi wowote. Ni ushauri wangu tu msipaniki na kupandisha sukari chumvi na pressure
Wee thubutu, kubadlisha sheria ya uchaguzi ni sawa na kujifukiza moto kwa chama pendwa cha CCM.
 
Tokea magufuli amekufa tulisikia hiki kibwagizo kwamba chadema ishakufa. Hadi sasa enzi za malkia kibwagizo ni kilekile kwamba Tanzania hakuna upinzani wa chadema okay Nice nakubali. Sasa kwa vile ccm ni chama kikongwe na kina ushawishi barani afrika kifanye hivi, kingewaruhusu tu hao wafu(chadema) waingie kwenye uchaguzi ili dunia iamini kweli hawa jamaa ni wafu na wachekwe kabisa maana hawana ushawishi wowote. Ni ushauri wangu tu msipaniki na kupandisha sukari chumvi na pressure

Kama CHADEMA imekufa, Basi itakuwa imekufa kifo cha kujitakia. Kila siku humu mtandaoni tumekuwa tukiwashauri wanapaswa wafanye nini ili waendelee kubaki kuwa hai na salama. Ukaidi wao ndio umewaponza.

Mojawapo ya Kanuni za Msingi kabisa katika Sayansi ya Vita inasema kwamba, ili kumlazimisha Adui yako au hasimu wako aweze kuja katika meza ya mazungumzo ya mapatano ya kumaliza vita, basi ni lazima umfanye adui yako huyo naye adhoofike na kupoteza katika uwanja wa mapambano.
 
Hata wao wanavijua vilivyokufa, vipo vipo tu, mambo yanaenda hovyo wamekaa kimya wamekosa sifa za kuwa wapinzani, CHADEMA pekee yao ndio wamekuwa wapinzani hawajawahi kaa kimya, kwenye suala la machinga walipiga kelele, issue ya korosho walipiga kelele, bomoa bomoa zisizofuata sheria walipiga kelele, Tozo walipiga kelele, ubadhilifu unaoendelea wao ndio wamekuwa wapiga kelele, wengine wamekaa kimya wanasifia, ndio maana kuna nguvu kubwa inatumika kuzima hizo kelele
 
Back
Top Bottom