GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,427
- 108,532
" Tambueni kuwa kuna Kufa "
" Unaweza ukafa hata leo hii hii na sasa hivi "
" Usiringie Mamlaka yako jua kuwa utakufa tu "
" Hata ukinyanyasa Watu hapa duniani jua bado utakufa tu "
" Jifunze kusamehe kwani kuna Kifo mbele yako "
" Tusiishi Kinafiki kwani kuna Kufa "
" Kwenda sana Makanisani au Misikitini hakusaidii kama hujui kuwa kuna Kufa "
Shikamoo Askofu G Malasusa!
Nawasilisha.
" Unaweza ukafa hata leo hii hii na sasa hivi "
" Usiringie Mamlaka yako jua kuwa utakufa tu "
" Hata ukinyanyasa Watu hapa duniani jua bado utakufa tu "
" Jifunze kusamehe kwani kuna Kifo mbele yako "
" Tusiishi Kinafiki kwani kuna Kufa "
" Kwenda sana Makanisani au Misikitini hakusaidii kama hujui kuwa kuna Kufa "
Shikamoo Askofu G Malasusa!
Nawasilisha.