Okwaaa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2020
- 1,316
- 2,917
- Thread starter
- #81
Pole mkuu! Nimeamini sisi binadamu tunapitia meng sana. Ukimtazama mtu usoni n kama yuko poa, kumbe yuko hoi, na anayeonekana anashida fulani kumbe ndiye afadhari hana shida kubwa. Shida zetu zingekuwa zinaonekana laivu au zinabebwa kama gunia la mahindi, bc wengine hapa tungekuwa hatuwezi kuzibeba.Daaah pole sana lakini umenikumbsha Mwaka 2022
Sisi mkubwa anaumwa mdgo wangu wa mwsho anaumwa na mm nnaumwa ila nlmficha bi mkubwa nilitoka msaada Kwa ssta ma dogo wakawa sawa mm.
Niko Hali mabya Sana, yaan nilfikia hatua ya kufa yaan Ile unakiona KIGo yaan unaona kabsa gari ya matiti inakuja kukufata afu ndugu zako wanalipa, usku ndo usiseme, kijoto chepesii, kibaridi, Ile kutetemka, Ile mavi yanatka kutka na roho inatka kuchomoka,
Yule binti nilikuwa nae na mtoto wangu mdgo, anasema jamn mm ndo nitaonekana muuaji usife baba flani, jamaniii.
Nashukuru Sana Mtumishi wa Mungu Mwamposa
Afya ilirudi maana yalikuwa mambo ya kishrikina Yale,