East African Eagle
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 3,759
- 2,205
Sauti ya ujerumani ilirusha matangazo Ya sharif HAMAD akionyesha kuwa kashinda Uraisi Zanzibar na kutoa matokeo yasiyothibitishwa na tume.
Kitendo cha idhaa ya UJermani ni ukiukwaji wa sheria ya Uchaguzi ya Tanzania.
Tume ya mawasiliano ifungieni Radio SAUTI ya ujerumani kwani ni chombo cha kichochezi kinachofanya kazi kuleta vurugu na fujo Tanzania.
Hili wamelifanya kusudi kuchochea machafuko
Kitendo cha idhaa ya UJermani ni ukiukwaji wa sheria ya Uchaguzi ya Tanzania.
Tume ya mawasiliano ifungieni Radio SAUTI ya ujerumani kwani ni chombo cha kichochezi kinachofanya kazi kuleta vurugu na fujo Tanzania.
Hili wamelifanya kusudi kuchochea machafuko