Ngoja Nikwambie, Siku Hizi Majini Pamoja Na Masheta Nayo Yamecopy Mfumo Wa Digitali ,..Yaani nao Wametoka Analogia Wamekwenda Digitali, Sasa Huyo Anayekuita Ni Jini Aina Ya PoPoBawa , Cku Hizi PopoBawa Wanakuja Na Sauti Nyororo, Ukiona Ivyo Anataka Achezee Choo Chako Na Unaambiwa Bao Lake Moja Ni Sawa Na Lita Moja Ya Maziwa Ya MtiNdi...Jirani Nakupenda Ndio Maana Nimekwmbia Ili Nikuepushe, Alafu Angalia Sana Pindi Unapoaamka Maeneo Ya Ikweta Kama yapo Salama Vingnevyo Utapotea Na hizo Sauti....www.dr.manyaunyau.com
the guy is already married kama umesoma vizuri post yake! kifuatacho ni jamaa kumchukia mkewe na ugomvi utakaopelekea ndoa kuvunjika ili jini limmiliki vizuri!
Mi nitaomba tu iwapo kweli zitapungua maombi yatazifanya zirudi maana sikuchagua kuwa niwe naitwa au kusumbuliwa na hii sauti.
Usipate Shida Mkuu, Kaunga kasema hivi:
Mimi nilijua tu, kumtoa kasoro na kumchukia mkeo kiasi kile ni dalili ya kuwa na spiritual husband; sasa fuatilia business au kazi zako; uwezekano mkubwa zinayumba, hopefully hautasema mkeo ana gundu.
King'asti kasema ni pepo.
Nilimjibu Kaunga kwamba kazi na biashara zinakwenda vzr tu hazina tatizo. Nakubaliana na King'asti moja kwa moja kwamba huenda ni pepo linataka kuchukua advantage ya maisha ninayoishi lakini nalikemea kwa Jina la Yesu
Thats devils trick wake up and take serious prayers ndg yangu! Kumbuka kazi kubwa ya Ibilisi ni kuleta destruction hiyo ni njia ya kukamilisha mission yake ambayo itaambatana na kuharibu ndoa yako! Wake up stand firm kutana na watumishi wa Mungu uweze kufanyiwa effective prayers na wewe mwenyewe uweze kusimama thabiti katika maombi!
Hakikisha hutengenezi loop hole yoyote ktika ndoa yako ya kumuwezesha shetani kupata mpenyo wa kuleta uharibifu meaning that you have to pray sana for your marriage.
Hivi ni ktk kitabu gani ktk biblia imeelezwa hayo yaliyowekewa RED. Nafikiri kilichoelekezwa ni hicho kwenye BLUE!
Imani ya mtumishi wa Mungu ni yake co yako; kuwa na yako kwanza.....
nikwambie!
hakuna cha jini mahaba wala nini! umemchukia sana mkeo kiasi cha kuamini kuna mwanamke mwingine mzuri anayekufaa umemtengeneza kichwani kwako na hiyo ni akili yako tu inarudisha kile unachowaza mchana kutwa!
Hapo kwenye mapepo ndo huwa sielewi
Mie nadhani 'mind' yako imetekwa au imekuwa 'weak' kutokana na migogoro uliyonayo na mkeo
Ndo maana unatafuta 'comfort' usingizini, kwa kusikia sauti nzuri ya mwana mke ikikubembeleza
Ni kile unachokikosa kwa mkeo
Ukisuluhisha au ukiimarisha uhusiano wako na mkeo hutakaa usikie sauti hizo
Fanyia kazi 'Power of your mind' hutakaa usikie kitu
"You have power over your mind - not outside events. Realize this, and you will find strength."
― Marcus Aurelius, Meditations
Nikiwa nimelala usiku, ikifika muda wa saa kumi hivi, inanijia sauti "nyororo na yenye kuvutia sana" inaita "Wiyelele, Wiyelele". Sauti hiyo inaning'ongoneza kwenye sikio langu la kulia nikiwa nimelala. Sauti hii ni nzuri sana na imekuwa ikijirudia mara tatu kwa wiki tena muda na wakati huo huo.
Nionavyo mimi, ni sauti ya mwanamke au msichana mzuri sana ambaye ambae simjui. Picha yake ilinijia usingizini siku moja kwenye ndoto na ni mzuri sana. Ni sauti inayoniita kwa kunibembeleza... natamani niedelee kuisikiliza jamani. Nahisi sauti hii imeona shida ninazozipata.
Sijajua bado maana yake ni nini. Hata hivyo, sio sauti ya mke wangu lahasha! Kwanini istokee siku hizi? Bado nafikiri na sipati majibu. Najitahidi kusali sana ili isije, lakini, kama ni sauti mbaya, mbona ikitokea nakua na furaha sana siku hiyo?